Hapa kuna hoja CCM wanataka kuzipitisha, ambazo ni lazima zipite kwa manufaa yao. Kumbukeni 2013,2014,2015 ni miaka muhimu sana. kunaissue za katiba mpya, mambo ya uchaguzi ndogo mpaka kubwa, pesa za uswiswi na mambo mengine mengi sana ambayo yanaweza kuizamisha CCM yakiwa live. So hiyo ni njia...