Recent content by gango

  1. gango

    Kampuni, taasisi au mradi unaoongozwa na waswahili lazima kuwe na ubabaishaji mkubwa!Simba si timu ya kushindwa kulipa wachezaji bonus!

    na hela za caf walikuwa wanatupigia mahesabu meengi mala wanapokea nyingi kuliko yanga .....
  2. gango

    Yanga itaenda kuvunja rekodi zote zilizowekwa na Simba kimataifa

    Inamaana hujui tumewakung'uta na hao TP Mazembe 3-1 ambao waliwatandika 4 - 0 mwaka 2019
  3. gango

    Nini kinaendelea VodaCom M-Pesa?

    yes its good idea, kuna mamlaka zinazosimamia haki za wanunuzi na watumiaji wa huduma, muda huu ndio inabidi wafanye kazi yao. kweli haiwezekani system ya MPESA ikashindwa kufanya kazi zaidi ya siku mbili while kuna watu wanaakiba zao za fedha
  4. gango

    Gharama za uendeshaji DSTV kulikoni

    mambo iko huku STARTIMES living for today building tomorrow, just 9000 per month nadhani Mpira tu ndo tunaukosaaaaa
  5. gango

    What do i do to remove her from my feelings??

    Nime tambua mistake na nimesharekebisha natumai nitapata msaada wako kimawazo. thanx
  6. gango

    What do i do to remove her from my feelings??

    ni miezi 5 sasa toka tulipoachana na mwenzangu but still she is in my head i dont want this, hali hii inanitesa sana nifanyeje ili nimsahau !!
  7. gango

    Kujitangaza facebook - kujishuku

    Sasa nani kakwambia natangaza humu
  8. gango

    Kujitangaza facebook - kujishuku

    nani amekwambia utangaze kwamba mimi nawatangazia humu .........
  9. gango

    Kujitangaza facebook - kujishuku

    mi nafikiri ni ulimbukeni tena wakifikra, na kwa mtu mwenye akili timamu na kama mlipendana sana you cant do such kind of things,
  10. gango

    Kujitangaza facebook - kujishuku

    hivi kunaulazima kama umetengana na boyfriend/girlfriend wako kwenda kuanika kwa FACEBOOK!!! inaulazima kiasi gani, afu mara nyingi yule anayekuwa na makosa ndo wakwanza kujishuku kwa FB teh teh
  11. gango

    Utajuaje kuwa anakupenda au anakutumia tu....?

    KAMA ULIKUWAPO VILEEEEEEEEEEEEE ' ni kawaida yao kujishuku kwa facebook nowdays' mara single bt happy , mara bora nimeachana nae, mara maisha yangu sasa yapo happy, mara bora kuwa single yaaan hawa watu bana mi NAWACHUKIA MPAKA SITAKI KUWAONA NIKIPITA BARABARANI MAANA NAWEZA JIRUSHA NIGONGWE NA...
  12. gango

    Startimes awarded right to broadcast uefa

    UEFA today announced the award of the 2012-15 UEFA Champions League and UEFA Europa League free-to-air media rights in sub-Saharan Africa (excluding the Republic of South Africa) to Star Times. Star Times will ensure the distribution of media rights to free-to-air broadcasters throughout the...
  13. gango

    Enzi ulipokuwa boarding

    IFUNDA TECH huko nako balaaa nakumbuka POLI/MSITU ambapo watu waliamishia madawati huko, tifu lilikuwa pale wanakijiji wanapochoma moto misitu mara SAA 9 USIKU Mnasikia king'ora cha shule kwenda kuzimaa motoooooooooo nyooo
  14. gango

    Ha ha haaaa

    hahahahaaaaaaaaaa haa haa haha haha hah ah ahha haahahahahahah haha haha ha aaaaaaaaaaaaaaaa uiiiiiiiiiiiii leo nimecheka sana hizi coments zenu..
  15. gango

    UDSM Chapel

    DUUU WE JAMAAAA INAMAANA UMESOMA UDSM ZAIDI YA MIAKA 10? since early 1990's to early 2000's...duuu MI NAWASIWASI NA DIGREE YAKO.......inaonekana ulikuwa wa kudesa sana wewe kisha kucary kwako kama kawa ...? au UDSM IPI wewe unayoiongelea ya DSM au wapi??? au ...........
Back
Top Bottom