Wengine walikuwa wanaona gharama kupanda sahto kwenda mabibo (sh 200) so wanatembea kutoka Campas had Mabibo, wakifika wako hoi wanakunywa majo ya 500!, so wanapata loss ya 300Duh,umenikumbusha udsm miaka ya 2005,unakimbia yombo kwenda lecture alafu unatoka kule unaenda [ingenearing]?unafika lecture imeshafika nusu
Hawafanyi tathimini,ila sijui labda walikuwa wanafanya mazoeziWengine walikuwa wanaona gharama kupanda sahto kwenda mabibo (sh 200) so wanatembea kutoka Campas had Mabibo, wakifika wako hoi wanakunywa majo ya 500!, so wanapata loss ya 300
Labda!, laikini.................mazoezi na suti, jeans, tena bila kupangilia!, ni kukusa kufikiria!Hawafanyi tathimini,ila sijui labda walikuwa wanafanya mazoezi
Duh,umenikumbusha udsm miaka ya 2005,unakimbia yombo kwenda lecture alafu unatoka kule unaenda [ingenearing]?unafika lecture imeshafika nusu
Mkubwa kweli nimekukubali!inabidi tu nikupe shikamooDuuu Daffi na mbwembwe zooooteee kumbe mtoto kabisa..... Mie ni early 1990's... Kama ningeanza kuchakachua mapema ungekuwa kijana wangu Daffi
Ooooh yes, haya yalikuwa maeneo yangu ya kujidai na kufanyia mashambulizi dhidi ya ufalme wa giza in 1990s to 2000s.
Labda!, laikini.................mazoezi na suti, jeans, tena bila kupangilia!, ni kukusa kufikiria!
DUUU WE JAMAAAA INAMAANA UMESOMA UDSM ZAIDI YA MIAKA 10? since early 1990's to early 2000's...duuu MI NAWASIWASI NA DIGREE YAKO.......inaonekana ulikuwa wa kudesa sana wewe kisha kucary kwako kama kawa ...?
au UDSM IPI wewe unayoiongelea ya DSM au wapi??? au ...........
Du Mkuu, ulisoma Chuo kipi?Duh,umenikumbusha udsm miaka ya 2005,unakimbia yombo(Yombo?) kwenda lecture alafu(halafu?) unatoka kule unaenda [ingenearing](engineering?)?unafika lecture imeshafika nusu
Du Mkuu, ulisoma Chuo kipi?
Chuo Kikuu kweli?
...........Calnde............just for information.............the chapel was designed by a reknowned tanzaniana Architect Anthony AlmeidaJust to remind those who had stayed at the campus. Its a nice place for those who are having sense of Christianity in them View attachment 33643
DUUU WE JAMAAAA INAMAANA UMESOMA UDSM ZAIDI YA MIAKA 10? since early 1990's to early 2000's...duuu MI NAWASIWASI NA DIGREE YAKO.......inaonekana ulikuwa wa kudesa sana wewe kisha kucary kwako kama kawa ...?
au UDSM IPI wewe unayoiongelea ya DSM au wapi??? au ...........
Duh,umenikumbusha udsm miaka ya 2005,unakimbia yombo kwenda lecture alafu unatoka kule unaenda [ingenearing]?unafika lecture imeshafika nusu