Big One
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 759
- 47
habar wa jf hv ndugu zangu dstv wanamatatizo gani gharama zinazidi kupanda sana au wao ndo wanazijua pesa sana kuliko sisi mm nadhani kampuni nyingine ijitokeze watashusha bei wenyewe wana jf hakuna mtu aneshughulikia gharama za uendeshaji ktk gvt yetu hii karibuni kwa michango yenu