Mimi ninafanya kazi na wazungu wanatoka Australia. Ukweli ni kwamba wenzetu wanamioyo tofauti sana. Mfano boss anakulipa let say one million. Lakini utakuta anakuuliza kama unashida yoyote. Utamwqmbiq unajua boss ninaplan ya kujenga nyumba ninekwama milion mbili. Anakupatia na haikatwi kwemye...
Wakuu, naomba uzoefu wenu kuhusu Grok AI na Kling AI kwenye utengenezaji wa video.
Ninataka kutumia AI kutengeneza short wildlife/documentary videos za wanyama, hasa kwa ajili ya Facebook Reels, TikTok na YouTube Shorts.
Ningependa kujua kwa wale ambao mmezitumia:
🐆 Ipi ina video quality...
kasema kabla hajaingia kwenye kuomba mkopo. mfumo unamtaka alipe elf 30,000 kupitia control number wanayoitoa. sasa baada ya kulipia anajaribu kulog in lakini mfumo hufunguki
Wadau habari ya jioni!
samahani kuna dogo aliomba, mkopo mwaka jana alikosa. Sasa anataka kuomba mkopo tena. Lakini ameshalipia elfu 30 lakini akijaribu kulog in mfumo haufunguki. Shida ni nini wadau?
Amani na iamue moyoni mwako. Kama unampenda muoe. Usiangalie har yako ya maisha. Hakuna siku har itakuwa nzur ndio uoe. Wee oa afu hari nzuri itawakuta mkiwa pamoja
Safi sana. Na jamii yetu ipo kwenye mkanganyiko mkubwa kujua tofauti kati ya dini na Mungu. Dini ni man made system kumtafuta MUNGU. Mungu anamifumo yake ya kumtafuta mwanadamu. Utaona mtu kaishikilia dini yake kama kitu
cha maana kumbe ujinga tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.