kasema kabla hajaingia kwenye kuomba mkopo. mfumo unamtaka alipe elf 30,000 kupitia control number wanayoitoa. sasa baada ya kulipia anajaribu kulog in lakini mfumo hufunguki
Wadau habari ya jioni!
samahani kuna dogo aliomba, mkopo mwaka jana alikosa. Sasa anataka kuomba mkopo tena. Lakini ameshalipia elfu 30 lakini akijaribu kulog in mfumo haufunguki. Shida ni nini wadau?
Amani na iamue moyoni mwako. Kama unampenda muoe. Usiangalie har yako ya maisha. Hakuna siku har itakuwa nzur ndio uoe. Wee oa afu hari nzuri itawakuta mkiwa pamoja
Safi sana. Na jamii yetu ipo kwenye mkanganyiko mkubwa kujua tofauti kati ya dini na Mungu. Dini ni man made system kumtafuta MUNGU. Mungu anamifumo yake ya kumtafuta mwanadamu. Utaona mtu kaishikilia dini yake kama kitu
cha maana kumbe ujinga tu
Mazingira ya kaz yana watu wenye tabia tofautitofauti. Wapo wapole na wapo wanaopenda kuonesha wao ni wema kwa mabos. Sasa ukiona unapigwa vita ujue wewe kuna kitu umewazidi. Kwa lugha nyingine ni kwamba wanahangaika na kile ulichobeba. Sasa kosa kubwa utakalolifanya ni kuwaogopa wao. Hapo...
Vita ni ya rohoni. Hata wakifunga hilo jengo lakini hawawezi kufunga ufalme wa mungu unaokaa ndan ya watu wake. Yaan hakuna mfalme aliyeshindana na mungu akashinda
nilipokuwa mdogo niliona wazazi wangu wanaabudu kwenye dhehebu la KKKT. sasa nimekua na ninaijua kweli ya Mungu siwezi kushika dhehebu. hata nisipokuwa na dhehebu naweza ishi maisha ya kumpendeza mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.