Recent content by GANG MO

  1. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Kwanini asilimia kubwa ya "bosses" wa kizungu wana roho nzuri na waumgwana kuzidi Waafrika, waarabu, wachina na wahindi? Malezi bora au ni nini?

    Mimi ninafanya kazi na wazungu wanatoka Australia. Ukweli ni kwamba wenzetu wanamioyo tofauti sana. Mfano boss anakulipa let say one million. Lakini utakuta anakuuliza kama unashida yoyote. Utamwqmbiq unajua boss ninaplan ya kujenga nyumba ninekwama milion mbili. Anakupatia na haikatwi kwemye...
  2. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Grok vs Kling AI — Ipi ni bora kwa kutengeneza video za AI?

    Chartgpt haitengenezi video. Ile ni nzuri kugenerate prompt
  3. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Grok vs Kling AI — Ipi ni bora kwa kutengeneza video za AI?

    Wakuu, naomba uzoefu wenu kuhusu Grok AI na Kling AI kwenye utengenezaji wa video. Ninataka kutumia AI kutengeneza short wildlife/documentary videos za wanyama, hasa kwa ajili ya Facebook Reels, TikTok na YouTube Shorts. Ningependa kujua kwa wale ambao mmezitumia: 🐆 Ipi ina video quality...
  4. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Nimenunua Samsung galaxy S21+ 5G

    Nime3nda dukan mwenyewe
  5. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Nimenunua Samsung galaxy S21+ 5G

    😁
  6. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Nimenunua Samsung galaxy S21+ 5G

    😁😁😁 oya mimi nimeokoka
  7. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Nimenunua Samsung galaxy S21+ 5G

    Wadau habar ya jioni. Leo nimenunua simu tajwa hapo juu. Nombeni mwenye uzoefu aweze kunmbia ubira na changamoto ya hii simu
  8. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Najaribu ku log in kwenye mfumo wa mikopo HESLB lakini inashindikana

    Nadhan wameupdate kwa 2025/26
  9. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Najaribu ku log in kwenye mfumo wa mikopo HESLB lakini inashindikana

    kasema kabla hajaingia kwenye kuomba mkopo. mfumo unamtaka alipe elf 30,000 kupitia control number wanayoitoa. sasa baada ya kulipia anajaribu kulog in lakini mfumo hufunguki
  10. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Najaribu ku log in kwenye mfumo wa mikopo HESLB lakini inashindikana

    Wadau habari ya jioni! samahani kuna dogo aliomba, mkopo mwaka jana alikosa. Sasa anataka kuomba mkopo tena. Lakini ameshalipia elfu 30 lakini akijaribu kulog in mfumo haufunguki. Shida ni nini wadau?
  11. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Mwanamke mwenye miaka 36 anataka nimuoe lakini mimi uchumi wangu aupo sawa, je nitaishi naye kwa amani kwenye ndoa?

    Kaka vijana wengi wanasema wanasubir mambo yakae sawa ndio waoe. Lkn ukweli ni kwamba mambo hayajawahi kaa sawa
  12. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Mwanamke mwenye miaka 36 anataka nimuoe lakini mimi uchumi wangu aupo sawa, je nitaishi naye kwa amani kwenye ndoa?

    Amani na iamue moyoni mwako. Kama unampenda muoe. Usiangalie har yako ya maisha. Hakuna siku har itakuwa nzur ndio uoe. Wee oa afu hari nzuri itawakuta mkiwa pamoja
  13. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Boniface Mwabukusi: Si kila Kiongozi wa Dini ni Mtumishi wa Mungu

    Safi sana. Na jamii yetu ipo kwenye mkanganyiko mkubwa kujua tofauti kati ya dini na Mungu. Dini ni man made system kumtafuta MUNGU. Mungu anamifumo yake ya kumtafuta mwanadamu. Utaona mtu kaishikilia dini yake kama kitu cha maana kumbe ujinga tu
  14. GANG MO

    JamiiForums Tanzania Kifo cha mende tunaidharau lakini ndio ushindi ulipo

    Kwa akili hizi basi ccm tuwape mitano tena😂😂😂
Back
Top Bottom