Recent content by GANG MO

  1. GANG MO

    Najaribu ku log in kwenye mfumo wa mikopo HESLB lakini inashindikana

    kasema kabla hajaingia kwenye kuomba mkopo. mfumo unamtaka alipe elf 30,000 kupitia control number wanayoitoa. sasa baada ya kulipia anajaribu kulog in lakini mfumo hufunguki
  2. GANG MO

    Najaribu ku log in kwenye mfumo wa mikopo HESLB lakini inashindikana

    Wadau habari ya jioni! samahani kuna dogo aliomba, mkopo mwaka jana alikosa. Sasa anataka kuomba mkopo tena. Lakini ameshalipia elfu 30 lakini akijaribu kulog in mfumo haufunguki. Shida ni nini wadau?
  3. GANG MO

    Mwanamke mwenye miaka 36 anataka nimuoe lakini mimi uchumi wangu aupo sawa, je nitaishi naye kwa amani kwenye ndoa?

    Kaka vijana wengi wanasema wanasubir mambo yakae sawa ndio waoe. Lkn ukweli ni kwamba mambo hayajawahi kaa sawa
  4. GANG MO

    Mwanamke mwenye miaka 36 anataka nimuoe lakini mimi uchumi wangu aupo sawa, je nitaishi naye kwa amani kwenye ndoa?

    Amani na iamue moyoni mwako. Kama unampenda muoe. Usiangalie har yako ya maisha. Hakuna siku har itakuwa nzur ndio uoe. Wee oa afu hari nzuri itawakuta mkiwa pamoja
  5. GANG MO

    Boniface Mwabukusi: Si kila Kiongozi wa Dini ni Mtumishi wa Mungu

    Safi sana. Na jamii yetu ipo kwenye mkanganyiko mkubwa kujua tofauti kati ya dini na Mungu. Dini ni man made system kumtafuta MUNGU. Mungu anamifumo yake ya kumtafuta mwanadamu. Utaona mtu kaishikilia dini yake kama kitu cha maana kumbe ujinga tu
  6. GANG MO

    Kifo cha mende tunaidharau lakini ndio ushindi ulipo

    Kwa akili hizi basi ccm tuwape mitano tena😂😂😂
  7. GANG MO

    Nipeni Mbinu za kushinda vita za makazini, naona vita imekua kubwa

    Mazingira ya kaz yana watu wenye tabia tofautitofauti. Wapo wapole na wapo wanaopenda kuonesha wao ni wema kwa mabos. Sasa ukiona unapigwa vita ujue wewe kuna kitu umewazidi. Kwa lugha nyingine ni kwamba wanahangaika na kile ulichobeba. Sasa kosa kubwa utakalolifanya ni kuwaogopa wao. Hapo...
  8. GANG MO

    Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

    John Maxwell ashawahi sema "if your only tool is the hummer, you tend to see every problem as nails"
  9. GANG MO

    PreGE2025 Serikali yalifutia usajili Kanisa la Askofu Gwajima kwa kuingilia masuala ya siasa kwa nia ya kuichonganisha Serikali na Wananchi

    Vita ni ya rohoni. Hata wakifunga hilo jengo lakini hawawezi kufunga ufalme wa mungu unaokaa ndan ya watu wake. Yaan hakuna mfalme aliyeshindana na mungu akashinda
  10. GANG MO

    Unaabudu dhehebu gani, kwanini unaabudu katika dhehebu hilo?

    nilipokuwa mdogo niliona wazazi wangu wanaabudu kwenye dhehebu la KKKT. sasa nimekua na ninaijua kweli ya Mungu siwezi kushika dhehebu. hata nisipokuwa na dhehebu naweza ishi maisha ya kumpendeza mungu.
  11. GANG MO

    namna ya kurecover corrupted excel file

    ni taarifa za siri kaka. waweza nipa maelekezo
Back
Top Bottom