Angalia amani ya moyo wako. Kuna watu wameoa single maza na wanaishi safii kabisa. Na wapo walioa hao single maza wakapigwa na kitu kizito. The same hata kwa ambao hawajazalishwa
Nimetazama huu mjadara naona wengi kuna kitu bado hamjakielewa. Yesu ni roho. Ilimlazimu avae mwili sababu duniani sio sehemu ya roho. Kuanzia maisha yake mpaka kifo ilikuwa ni mission ya Mungu kuwakomboa wanadamu kupitia agano la damu. Walioandika biblia waliongozwa na Roho mtakatifu sio akili...
"Mungu ni Roho nao wamuabuduo imewapasa kumuabudu katika Roho".
ukimchambua yesu kihistoria au kithiolojia huwez muelewa. Ndio maana hata wanadini (dini ya kiyahudi) walishindwa kumuelewa wakamuua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.