mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,488
- 2,979
Kwahiyo judo ndio huwa zinakata kichwa?Prof Lipumba alisema wanafanya mafunzo ya judo msikitini ili kujiweka fiti
Lipumba ni kiongozi wa dhehebu gani?
Kwahiyo judo ndio huwa zinakata kichwa?Prof Lipumba alisema wanafanya mafunzo ya judo msikitini ili kujiweka fiti
Judo itakusaidia usikatwe kichwa kizembe kama ngamiaKwahiyo judo ndio huwa zinakata kichwa?
Lipumba ni kiongozi wa dhehebu gani?
Muwahodari kuruka viunzi, oooh ndio elimu dunia hiyo, safi sanaJudo itakusaidia usikatwe kichwa kizembe kama ngamia
Tupe tofaut ya wakili na wakili basiNa nani alisema kila Wakili ni Wakili?
Hahahaa 😂😂😂😂Judo itakusaidia usikatwe kichwa kizembe kama ngamia
Umesema uwongo bwashee,
unapenda sana kutukana uislam kireja reja,
Pole sana
Muwaoga saanaaaa, haya muishi milele duniani basiLongido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali
Habari hii imerushwa ITV saa 2 hii usiku. Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na...www.jamiiforums.com
Amepiga kwenye mshono wa homeboy wakeKatika historia ya mwanadamu na hata katika maandiko matakatifu, ipo tofauti kubwa kati ya viongozi wa dini na watumishi wa kweli wa Mungu.
Ni muhimu kwa jamii kutambua kuwa si kila kiongozi wa dini ni mtumishi wa Mungu. Na si kila anayesema "Bwana, Bwana" ataingia katika Ufalme wa Mungu (Mathayo 7:21).
Tatizo kubwa linalojitokeza katika jamii zetu ni kwamba watu wengi huchanganya hawa wawili kana kwamba ni kitu kimoja.
Hii ni hatari, maana si kila anayevaa vazi la kidini au kusimama madhabahuni ni mjumbe wa Mungu.
1. Viongozi wa Dini ni wa mfumo – Watumishi wa Mungu ni wa kweli ya kiroho.
Viongozi wa dini mara nyingi wamejikita kwenye kulinda taasisi zao, mamlaka yao, na maslahi yao. Wanaweza hata kutumika kama vinyago vya nguvu za kisiasa au kiuchumi.
Katika Biblia, Yesu aliwakemea vikali Mafarisayo, Masadukayo na walimu wa sheria kwa unafiki na kupindisha sheria kwa manufaa yao binafsi:
"Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafunga Ufalme wa Mbinguni mbele ya watu; ninyi wenyewe hamwingii, wala hamkubali wale wanaotaka kuingia waingie." – Mathayo 23:13.
2. Watumishi wa Mungu wamesimama na Haki, hata ikiumiza.
Watumishi wa Mungu, kama manabii wa zamani – Eliya, Isaya, Yeremia, na Yohana Mbatizaji – waliikemea jamii kwa uovu wake bila kuogopa. Hawakubembeleza mamlaka wala kukubali kununuliwa. Walikuwa tayari hata kufungwa, kuteswa au kuuawa kwa ajili ya kusimamia ukweli wa Mungu. Watumishi wa namna hii ni nadra sana leo.
3. Viongozi wa Dini hutafuta makundi – Watumishi wa Mungu hutafuta nafsi za watu.
Viongozi wa dini hujenga maelfu ya wafuasi lakini mioyo ya watu hubaki tupu. Wanahubiri kwa faida, wakigeuza watu kuwa chanzo cha kipato. Lakini watumishi wa Mungu hujenga watu, si majengo wala majina. Huduma yao huzaa toba, haki, na ukombozi wa kweli.
4. Hadithi za Mafarisayo na Masadukayo ni onyo la historia.
Yesu Kristo hakuwahi kuwa karibu na viongozi wa dini wa wakati wake. Aliwakemea kwa unafiki wao, kwa kutumia dini kama silaha ya kuwatesa wengine.
Hili ni onyo kubwa kwa vizazi vya sasa – kwamba dini isipotenganishwa na mamlaka ya kiroho, inaweza kuwa chombo cha uonevu na utumwa mpya wa kiakili na kiroho.
Tuwaangalie kwa matendo yao, si maneno yao. Na tuwaogope wale wanaoitumia dini kama kinga ya uovu wao.
Unapokwenda kwenye Nyumba za Ibada hakikisha akili yako ni Timamu.
BAK Mwabukusi.
Jamaa wakaona wam pumzishe kdg🧐Ile slogan yako ilikuwa na maana gani mkuu? I wanna go uncircumcised mkuu😅
Josephat Gwajima siyo mtumishi wa MunguKatika historia ya mwanadamu na hata katika maandiko matakatifu, ipo tofauti kubwa kati ya viongozi wa dini na watumishi wa kweli wa Mungu.
Ni muhimu kwa jamii kutambua kuwa si kila kiongozi wa dini ni mtumishi wa Mungu. Na si kila anayesema "Bwana, Bwana" ataingia katika Ufalme wa Mungu (Mathayo 7:21).
Tatizo kubwa linalojitokeza katika jamii zetu ni kwamba watu wengi huchanganya hawa wawili kana kwamba ni kitu kimoja.
Hii ni hatari, maana si kila anayevaa vazi la kidini au kusimama madhabahuni ni mjumbe wa Mungu.
1. Viongozi wa Dini ni wa mfumo – Watumishi wa Mungu ni wa kweli ya kiroho.
Viongozi wa dini mara nyingi wamejikita kwenye kulinda taasisi zao, mamlaka yao, na maslahi yao. Wanaweza hata kutumika kama vinyago vya nguvu za kisiasa au kiuchumi.
Katika Biblia, Yesu aliwakemea vikali Mafarisayo, Masadukayo na walimu wa sheria kwa unafiki na kupindisha sheria kwa manufaa yao binafsi:
"Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafunga Ufalme wa Mbinguni mbele ya watu; ninyi wenyewe hamwingii, wala hamkubali wale wanaotaka kuingia waingie." – Mathayo 23:13.
2. Watumishi wa Mungu wamesimama na Haki, hata ikiumiza.
Watumishi wa Mungu, kama manabii wa zamani – Eliya, Isaya, Yeremia, na Yohana Mbatizaji – waliikemea jamii kwa uovu wake bila kuogopa. Hawakubembeleza mamlaka wala kukubali kununuliwa. Walikuwa tayari hata kufungwa, kuteswa au kuuawa kwa ajili ya kusimamia ukweli wa Mungu. Watumishi wa namna hii ni nadra sana leo.
3. Viongozi wa Dini hutafuta makundi – Watumishi wa Mungu hutafuta nafsi za watu.
Viongozi wa dini hujenga maelfu ya wafuasi lakini mioyo ya watu hubaki tupu. Wanahubiri kwa faida, wakigeuza watu kuwa chanzo cha kipato. Lakini watumishi wa Mungu hujenga watu, si majengo wala majina. Huduma yao huzaa toba, haki, na ukombozi wa kweli.
4. Hadithi za Mafarisayo na Masadukayo ni onyo la historia.
Yesu Kristo hakuwahi kuwa karibu na viongozi wa dini wa wakati wake. Aliwakemea kwa unafiki wao, kwa kutumia dini kama silaha ya kuwatesa wengine.
Hili ni onyo kubwa kwa vizazi vya sasa – kwamba dini isipotenganishwa na mamlaka ya kiroho, inaweza kuwa chombo cha uonevu na utumwa mpya wa kiakili na kiroho.
Tuwaangalie kwa matendo yao, si maneno yao. Na tuwaogope wale wanaoitumia dini kama kinga ya uovu wao.
Unapokwenda kwenye Nyumba za Ibada hakikisha akili yako ni Timamu.
BAK Mwabukusi.
Lete ushahidi kuna andiko kwenye uislamu wamehalalisha kukatana vichwa? Acha ujinga wako wa kipumbavuKukatana vichwa kwenye Uislamu ni kawaida sana ndio sababu wanapewa Mafundisho ya Judo
Uislamu kimaandiko unalindwa kwa UpangaLete ushahidi kuna andiko kwenye uislamu wamehalalisha kukatana vichwa? Acha ujinga wako wa kipumbavu
Katika historia ya mwanadamu na hata katika maandiko matakatifu, ipo tofauti kubwa kati ya viongozi wa dini na watumishi wa kweli wa Mungu.
Ni muhimu kwa jamii kutambua kuwa si kila kiongozi wa dini ni mtumishi wa Mungu. Na si kila anayesema "Bwana, Bwana" ataingia katika Ufalme wa Mungu (Mathayo 7:21).
Tatizo kubwa linalojitokeza katika jamii zetu ni kwamba watu wengi huchanganya hawa wawili kana kwamba ni kitu kimoja.
Hii ni hatari, maana si kila anayevaa vazi la kidini au kusimama madhabahuni ni mjumbe wa Mungu.
1. Viongozi wa Dini ni wa mfumo – Watumishi wa Mungu ni wa kweli ya kiroho.
Viongozi wa dini mara nyingi wamejikita kwenye kulinda taasisi zao, mamlaka yao, na maslahi yao. Wanaweza hata kutumika kama vinyago vya nguvu za kisiasa au kiuchumi.
Katika Biblia, Yesu aliwakemea vikali Mafarisayo, Masadukayo na walimu wa sheria kwa unafiki na kupindisha sheria kwa manufaa yao binafsi:
"Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafunga Ufalme wa Mbinguni mbele ya watu; ninyi wenyewe hamwingii, wala hamkubali wale wanaotaka kuingia waingie." – Mathayo 23:13.
2. Watumishi wa Mungu wamesimama na Haki, hata ikiumiza.
Watumishi wa Mungu, kama manabii wa zamani – Eliya, Isaya, Yeremia, na Yohana Mbatizaji – waliikemea jamii kwa uovu wake bila kuogopa. Hawakubembeleza mamlaka wala kukubali kununuliwa. Walikuwa tayari hata kufungwa, kuteswa au kuuawa kwa ajili ya kusimamia ukweli wa Mungu. Watumishi wa namna hii ni nadra sana leo.
3. Viongozi wa Dini hutafuta makundi – Watumishi wa Mungu hutafuta nafsi za watu.
Viongozi wa dini hujenga maelfu ya wafuasi lakini mioyo ya watu hubaki tupu. Wanahubiri kwa faida, wakigeuza watu kuwa chanzo cha kipato. Lakini watumishi wa Mungu hujenga watu, si majengo wala majina. Huduma yao huzaa toba, haki, na ukombozi wa kweli.
4. Hadithi za Mafarisayo na Masadukayo ni onyo la historia.
Yesu Kristo hakuwahi kuwa karibu na viongozi wa dini wa wakati wake. Aliwakemea kwa unafiki wao, kwa kutumia dini kama silaha ya kuwatesa wengine.
Hili ni onyo kubwa kwa vizazi vya sasa – kwamba dini isipotenganishwa na mamlaka ya kiroho, inaweza kuwa chombo cha uonevu na utumwa mpya wa kiakili na kiroho.
Tuwaangalie kwa matendo yao, si maneno yao. Na tuwaogope wale wanaoitumia dini kama kinga ya uovu wao.
Unapokwenda kwenye Nyumba za Ibada hakikisha akili yako ni Timamu.
BAK Mwabukusi.
Kama wale masheikh waliondega kwa geodavie wakadai wao masheikh wa mkoa 😄Kweli kabisa
Naungana na wewe!Mwabukusi na Lisu hawa ndio kina Martin Luther king Jr wa kizazi chetu
Hongo wanayoikataa na matisho wanayopewa wangekuwa na mioyo mepesi wangesha nyanyua mikono
Mwabukusi ni mtu mwenye heshima mbele za Mungu kuliko viongozi wengi wa kidini.