Main response ya simu ni call, call ndo inachukua uwezo mkubwa wa simu, so other applications lazima zihang. At the same time, ila wanaendelea kuziongezea uwezo matoleo yanayokuja, naamini yatakata kiu yako.
Bandari ni yetu hata kama tukijiibia ni Sisi , sasa wewe unampa jamaa ili aibe apeleke uarabuni , haijulikani vyema kama akili zako kama ziko sawa au zimejaa kinyesi
Wakuu napenda kuuliza , hv Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika , je mikataba ambayo ilisainiwa Kwa idhini ya Tanzania nayo itavunjika ???
Wenye uelewa naomba wanijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.