uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,994
- 8,370
Waandishi walioko mstari wa mbele kwenye vita ya waisrael na magaidi ya Hamas, wanasema wanasikia sauti za mamia ya wanamgambo wa hamas wanaopiga kelele za uchungu.
Ikumbukwe raia wema wanaopenda amani walikwishwa tii amri ya kuhamia sehemu salama ya las mwa gaza.
Jeshi la israeli linachukulia waliobaki na kujificha chini ya mahandaki ns Hamas. Hamas wanasubiri usaidizi wa hezbollah.
Credit: AFP
Ikumbukwe raia wema wanaopenda amani walikwishwa tii amri ya kuhamia sehemu salama ya las mwa gaza.
Jeshi la israeli linachukulia waliobaki na kujificha chini ya mahandaki ns Hamas. Hamas wanasubiri usaidizi wa hezbollah.
Credit: AFP