Recent content by gambakhuffu

  1. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Kinachosikitisha wa Tanzania waliozamia SA wemerudi na umaskini

    jamaa kasema kweli malezi ya mjini huwezi kutoboa labda ulikuwa familia bora na una wingi wa connection kupitia wazazi na ndugu wa karibu wenye uwezo.
  2. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaendesha takataka na si magari

    Ila wahaya bhana kwa kujishongondoa utadhani wana kitu
  3. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Haitoshi kulipenda gari lichunguze linachukuliwaje na jamii, kuna magari ambayo yamejipatia umaarufu kutumika na watu tofauti na ulivyo

    kabisa, nashangaa watu nimehama toka brevis nimehamia mazda verisa nashangaa watu wananizonga as if wananichangia gharama za sheli.
  4. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Nissan Fuga licha ya muonekano wake mzuri lakini ni gari adimu sana mitaani... Shida ni nini wataalamu?

    hii gari miaka ya 2015 kurudi chini zilikuwa nyingi sana hapa kwetu kama ilivyo toyota crown kwa sasa. Sijui nini kilitokea miaka ya baadae pia pacha wake Nissan Teana nazo zilijazana vilevile ilikuwepo SUV moja matata 'Ford Kuga' zilikuwa za kumwaga mitaaani hapa TZ sijui nini kilitokea maana...
  5. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Kurudisha harufu ya ndani ya gari

    acha kubeba mbuzi kwenye gari harufu itarudi pia acha kufanyia kwenye gari, nadhani umenielewa.
  6. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Toyota crown

    nenda na crown hutojutia haina vipengere vya ajabu halafu ni V6 engine mwendo wake SH5 ikasome, fuel consumption ya kawaida sana hasa yenye 4GR engine.
  7. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Kwanini watoto wa kike hasa Gen Z wazito kuanzisha salamu?

    Mjini salamu sio muhimu labda uwe na shida na huyo mtu.
  8. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Kipaji Chake Kilikuwa Laana na Mkosi Kwake, Usagaji, Maisha, Mafanikio na Kifo cha Brenda Fassie

    Nilipenda sana kazi za brenda fassie. Ni ukweli usiopingika kuwa, kipaji chake kilikua cha juu na kikubwa sana katika tasnia muziki.
  9. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Mlitudanganya wadada wembamba warefu wana papuchi kubwa.

    madada wembamba mna pepo yenu.
  10. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Nenda playstore fanya updates.
  11. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    UNYAMA SANA, IMEKAA KI-MWAKA WA MBELE. KONGOLE JF AND THE TEAM.
  12. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania NMB App iko down tangu jana hadi Muda huu

    hata DSE app hamna kitu leo J3
  13. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Ni nani huyu kwanza
  14. gambakhuffu

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Njia ya Mwanza - Dar yupo mwamba Katarama, kashindikana huyu jamaa sijaona wa kupambana naye zama hizi.
Back
Top Bottom