Recent content by gambakhuffu

  1. gambakhuffu

    Rasmi CCM ni chama cha serikali. Hakijali matakwa wala matamanio ya wananchi

    Hiki chama ni janga la hii nchi. Mfumo kilichojijengea tangu enzi ya chama kimoja ndo kansa ya hili taifa, CCM haijawahi kujitenga na dola tangu kuanzishwa kwake.
  2. gambakhuffu

    Raisi Samia: Wakuu wa mikoa mshirikiane na chama kipindi cha Uchaguzi

    Acheni wivu mbona katiba inaruhusu😀
  3. gambakhuffu

    Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

    Mwanamke akiwa mchafu inakera sana unajikuta hata hisia za tendo zinapotea
  4. gambakhuffu

    Kuna staff mwenzangu kaenda kunisemea kwa Boss kuwa ninatumia sana kilevi na kutoa maneno machafu kitu ambacho sio kweli

    Wanafiki ndo wanga wa makazini. Nakushauri na uzuri kwamba umeshamjua kikubwa mfuate mpe kikao mweleze yote kwamba umeshamjua na akiendelea peleka shauri tawi la chama cha wafanyakazi hapo kazini vinginevyo ukiwalea watakuharibia maisha ya kazi halafu kingine kikubwa usipende kunywa na staff...
  5. gambakhuffu

    SI KWELI Kiongozi Mkuu wa North Korea asilimu kuwa Muislam

    Faiza bhana. ndo nini kutulisha matango pori
Back
Top Bottom