Hiki chama ni janga la hii nchi. Mfumo kilichojijengea tangu enzi ya chama kimoja ndo kansa ya hili taifa, CCM haijawahi kujitenga na dola tangu kuanzishwa kwake.
Wanafiki ndo wanga wa makazini. Nakushauri na uzuri kwamba umeshamjua kikubwa mfuate mpe kikao mweleze yote kwamba umeshamjua na akiendelea peleka shauri tawi la chama cha wafanyakazi hapo kazini vinginevyo ukiwalea watakuharibia maisha ya kazi halafu kingine kikubwa usipende kunywa na staff...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.