hii gari miaka ya 2015 kurudi chini zilikuwa nyingi sana hapa kwetu kama ilivyo toyota crown kwa sasa. Sijui nini kilitokea miaka ya baadae pia pacha wake Nissan Teana nazo zilijazana vilevile ilikuwepo SUV moja matata 'Ford Kuga' zilikuwa za kumwaga mitaaani hapa TZ sijui nini kilitokea maana...
nenda na crown hutojutia haina vipengere vya ajabu halafu ni V6 engine mwendo wake SH5 ikasome, fuel consumption ya kawaida sana hasa yenye 4GR engine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.