Recent content by gambachovu

  1. gambachovu

    Haya ndo matusi ya wabungeambayo spika ameahidikuwashitaki polisi

    Dah! Na yule wa Zanzibar naye ni balaa!
  2. gambachovu

    Msanii Linah apagawisha Washington DC

    Hata mi namwona mtu kama Prof Jay
  3. gambachovu

    iNgEkuWaJe hiLi LiaNguKie kWenyE fAmilia yaKo!!!

    Dingi hapo atakoma sasa kumtakia usiku mwema dogo!
  4. gambachovu

    Msanii mtuhumiwa anapozuru kaburi la msanii

    Baadhi yetu tunaangalia upande mmoja wa shilingi. Lakini kufiwa acha kabisa! Hata uwe mwanaume au mwanamke,na hata uwe kicheche au usiyetulia namna gani,kufiwa na mpenzi wako yule main,acheni kabisa! Huyo dogo yamemkuta makubwa kuliko umri wake. Msisahau marehemu alikuwa mpenzi wake. Msisahau!
  5. gambachovu

    Bima ya afya kutoka Tigo

    Mi nimepata message kuwa namba yangu imepewa ofa ya bima ya afya kwa mwezi mzima wa Aprili. Na nikapewa no niipige kwa maelezo zaidi. Huwa sipendi kusubscribe kiholela vitu nisivyo na ulazima navyo. Mtu atuelimihe kuhusu hili kwa kweli
  6. gambachovu

    Utawezaje kuacha kupiga punyeto?

    Hii mada... imekaa kivijana zaidi..
  7. gambachovu

    Bomba la Gesi toka Mtwara kwenda Dar sasa kupitishwa baharini

    Jamani mnajadili tu kwa info mlizozipata kutokea wapi? mmeenda taasisi zinazohusika na mafuta na gas asilia? au mnaongeaongea tu... Ndiyo shida ya kuyapeleka mambo kisiasa hayo.JK mwenyewe alipata kuahidi kuwa patajengwa pwr plant Mtwara na kiwanda cha kuishughulikia hiyo raw gas kuwa umeme. Na...
  8. gambachovu

    Bomba la Gesi toka Mtwara kwenda Dar sasa kupitishwa baharini

    Jamani mnajadili tu kwa info mlizozipata kutokea wapi? mmeenda taasisi zinazohusika na mafuta na gas asilia? au mnaongeaongea tu... Ndiyo shida ya kuyapeleka mambo kisiasa hayo.JK mwenyewe alipata kuahidi kuwa patajengwa pwr plant Mtwara na kiwanda cha kuishughulikia hiyo raw gas kuwa umeme. Na...
  9. gambachovu

    Tamko la Jumuiya za Kiislam kuhusu mauaji ya Viongozi wa Dini na uchochezi wa Vyombo vya Habari

    Jinsi niipendavyo amani....... Niko radhi niage dunia peke yangu ili nyie wengine mtakaobaki mbaki na amani...
  10. gambachovu

    Mnyika, watchout! Maji Ubungo yatakuondoa...

    Kwani matatizo ya maji Ubungo yameanza awamu gani? Hii ya 4 ambako Mh Mnyika ni Mbunge ama....?!
  11. gambachovu

    Waziri Tizeba aamua kuondoka hotelini baada ya bili ya 100milioni

    Aulizwe Mkapa na Magufuli.. Sasa Tizeba na wadhifa wake angekaa wapi.. Naamini wengine wana bills kubwa zaidi. Nenda hata Courtyard hotel..
  12. gambachovu

    Lowassa anusurika kifo Morogoro

    Pole mkuu ENL..
  13. gambachovu

    Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

    I support the Mtwarans
  14. gambachovu

    Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

    Poleni sana wakazi wa Mtwara..
  15. gambachovu

    Download free JF application for Blackberry

    Kwangu nifanyeje maana naona options nne,ya review,recommend,na screenshotos. Labda na ya contact support tu basi.Ya kudownload siioni wakuu..
Back
Top Bottom