gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Kwangu nifanyeje maana naona options nne,ya review,recommend,na screenshotos. Labda na ya contact support tu basi.Ya kudownload siioni wakuu..
Mkuu hii kitu kwangu imegoma kabisaa sijui wengine kama inafanya kazi,leo siku nzima imenigomea kabisaa siku ya leo
Mkuu,
Hata mimi kwangu imegoma kabisa kufunguka toka jana labda Young Master anaweza kutusaidia
Cc: Invisible
Mkuu,
Hata mimi kwangu imegoma kabisa kufunguka toka jana labda Young Master anaweza kutusaidia
Cc: Invisible
Jaribuni kutoa betri na kuwasha simu tena halafu muone kama tatizo linaendelea. Nipeni feedback.
Nimeshajaribu lakini bado
This should be fine now.Wakuu Papizo, Rapherl na wanaJF wote, baada ya kuitest application hiyo nimegundua kweli kuna tatizo na nimelifikisha tatizo lenu kwenye uongozi wa JF ili liweze kufanyiwa kazi haraka iwezekanavyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza na utakaojitokeza. Tunaomba muwe wavumilivu wakati tunatafuta ufumbuzi wa hili swala na tutawajulisha pale mambo yatakapokaa sawa. Asante.
This should be fine now.
Wakuu Papizo, Rapherl na wanaJF wote, baada ya kuitest application hiyo nimegundua kweli kuna tatizo na nimelifikisha tatizo lenu kwenye uongozi wa JF ili liweze kufanyiwa kazi haraka iwezekanavyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza na utakaojitokeza. Tunaomba muwe wavumilivu wakati tunatafuta ufumbuzi wa hili swala na tutawajulisha pale mambo yatakapokaa sawa. Asante.
This should be fine now.
Thanks mkuu for your quick response.
inasumbua kwenye bb 9380
Unapata tatizo gani mkuu?[/QU
sometimes inagoma kufunguka,screen inaonyesha kama ina load then inaishia hivyo.wakati mwingine inafunguka.
Unapata tatizo gani mkuu?[/QU
sometimes inagoma kufunguka,screen inaonyesha kama ina load then inaishia hivyo.wakati mwingine inafunguka.
Tatizo hilo linajulikana na uongozi wa JF unalishughulikia. Asante kwa kutoa taarifa.