Kwahiyo mkuu allah unayemuabudu ww ni tofauti na anayeabudiwa na wagalatia? Huko ni kujiona ww upo sahihi kwa mungu na wenzio sio sahihi jambo ambalo na wenzio watakuona haupo sahihi bali wao wapo sahihi
Ni rahisi kumpata nenda kwenye kituo cha mtandao unaohusika watatazama mawasiliano yake ,kisha mtamtafuta ndugu yake yeyote waliyekuwa wanawasiliana sana ,kwa vitisho vya police atasema alipo huyo mwizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.