Recent content by Gamaliely mosha

  1. G

    Shilole na Serengeti wake(Uchebe) Kimenuka

    Dah masikini kwann hakujifunza kwa Mziwanda? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. G

    Hii video imenitoa machozi huu utawala haufai kabisa

    Maafa hayajakukuta ndugu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. G

    Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

    Sasa badala ya mume kuwa mlevi eti mke ndio mlevi si maajabu ya karne hayo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. G

    Kubadili Dini kwa Ajili ya Ndoa

    Kwahiyo mkuu allah unayemuabudu ww ni tofauti na anayeabudiwa na wagalatia? Huko ni kujiona ww upo sahihi kwa mungu na wenzio sio sahihi jambo ambalo na wenzio watakuona haupo sahihi bali wao wapo sahihi
  5. G

    Naombeni ushauri wanaume wenzangu

    Hakuna hizo mila za kijinga bana,hapo tatizo jamaa hasimami kama mwanaume ww utaachaje mkeo akakae kwao miezi miwili? Lipo tatizo si bure
  6. G

    Wema Sepetu Apandishwa Tena Kizimbani Kisutu leo

    Mimi naona ww ndio unamzalilisha kwa kumuongelea maneno ya zarau,lakini ukweli hana kibaya cha kumzalilisha
  7. G

    Freema Mbowe, Halima Mdee, wahojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge

    Kwahiyo nawe ni mmoja wa hao raba stamp,maana kwa kuyajua yote hao nawe upo kwenye vikao vyao
  8. G

    Nitatoa zawadi ya 200,000

    Ni rahisi kumpata nenda kwenye kituo cha mtandao unaohusika watatazama mawasiliano yake ,kisha mtamtafuta ndugu yake yeyote waliyekuwa wanawasiliana sana ,kwa vitisho vya police atasema alipo huyo mwizi
  9. G

    Mke wangu amezalishwa na madaktari wadogo roho inaniuma

    Ni vitoto vidogo lakini wamesomea ndio kazi yao hiyo,nina shaka mkeo hata sokoni haendagi
  10. G

    Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

    Mchunguze vizuri mkeo huenda ana urafiki na mashoga
  11. G

    Kile kinachofanywa na watoa mapepo ni cha kutengenezwa

    Ndio maana kila mtu anafikiria kuanzisha kanisa lake
  12. G

    Sakata la viroba: Wafanyabiashara nendeni Mahakamani

    Hii ndio africa bana kupata haki ni ndoto za mchana wa jua kali
Back
Top Bottom