Kubadili Dini kwa Ajili ya Ndoa

Mkuu;
Umetoa ushauri mzuri sana ila ukamalizia vibaya. Nakubaliana nawe kuwa, kama mkiridhiana kuwa pamoja regardless ya imani zenu hapo sawa tu. Lakini ninachokataa ni kule kutuaminisha kuwa mungu tunaye muabudu ni mmoja. Hata siku moja usiniambie kuwa Allah Subuhannah Wa Taallah ati ni sawa na huyo wa wagalatia. Hapanaaaaa. Tena usiwachokoze watu wake. Tena akija kwangu hamalizi mwezi kabla sijamsilimisha.
Hapo nami nakuunga mkono maana Mungu tunaemuabudu wakristo ni Mungu aliehai Mungu wa Ibrahimu,Isaka na Yakobo(Israel) aliemtoa mwanawe wa pekee yani Yesu Kristo aje aukomboe ulimwengu katika dhambi. Asie muamini Yesu Kristo kuwa ni mwana wa Mungu huyo hatuko pamoja ni mpinga Kristo ambae kwa imani yangu hamwamini Mungu.
 
ni ushauri mzuri ila wapo walio shauri kuwa huyo ndio anafaa kwani hatokua mjuaji au mgonvi kwani anajua wewe ndio kimbilio pekee kwake

Nazungumza kutokana na uzoefu wangu niliyoyaona kwa wengi wengi huishi maisha ya dhiki za roho kwa kuwa mzazi hana radhi nae je nani bora mwanaume uliyekutana nae ambae anaweza kukuacha wakati wowote au mzazi wako ukiwa una nia nae nzuri mweleze ukweli usiudhi wazazi wako kwa ajili yangu jifikirie wewe je ubadili dini wazazi wako hawaridhiki
 
Mkuu;
Umetoa ushauri mzuri sana ila ukamalizia vibaya. Nakubaliana nawe kuwa, kama mkiridhiana kuwa pamoja regardless ya imani zenu hapo sawa tu. Lakini ninachokataa ni kule kutuaminisha kuwa mungu tunaye muabudu ni mmoja. Hata siku moja usiniambie kuwa Allah Subuhannah Wa Taallah ati ni sawa na huyo wa wagalatia. Hapanaaaaa. Tena usiwachokoze watu wake. Tena akija kwangu hamalizi mwezi kabla sijamsilimisha.
Kwahiyo mkuu allah unayemuabudu ww ni tofauti na anayeabudiwa na wagalatia? Huko ni kujiona ww upo sahihi kwa mungu na wenzio sio sahihi jambo ambalo na wenzio watakuona haupo sahihi bali wao wapo sahihi
 
Mungu ni mmoja tu ila tunaabudu kwa njia tofauti. Wote tunasali kuomba Mungu. Kwenye issue ya watoto ni kuwa watoto huanza kupata dhambi wakibalee au kuvunja ungo hapo tayari wapo above 16, kwahiyo kuanzia hapo watachagua dini watakayo. Mnaweza wazazi wote kuwa dini moja ila mtoto akikua anaamua yake. Dini sio issue kabisa..
 
Kuliko nibadli dini bora tuachane tu haijalishi nakupenda kiasi gan yan nimwache yesu kisa mwanaume no way
 
Mungu ni mmoja tu ila tunaabudu kwa njia tofauti. Wote tunasali kuomba Mungu. Kwenye issue ya watoto ni kuwa watoto huanza kupata dhambi wakibalee au kuvunja ungo hapo tayari wapo above 16, kwahiyo kuanzia hapo watachagua dini watakayo. Mnaweza wazazi wote kuwa dini moja ila mtoto akikua anaamua yake. Dini sio issue kabisa..

Duh
 
daa umegusa penyewe kabisa kaka mimi nina mpenzi ambae ni muislamu pia nimwalimu wa shule ya msingi moja wapo hapa daa najua hawezi kuwemo humu kwani nilimpiga marufuku kujihusisha na hii mitandao

sasa tatizo lipo hapa kila mala amekua akinilazimisha kumuoa na akikili kuwa tayari kubadilisha dini yake na kuja kwangu ila nikiangalia kwaupande wa ndugu zake yani baba mama kaka zakee yani duuu niwatu wadini hiyo kupitiliza huwa namtaadharisha juu ya kutengwa na ndugu zake lakini yeye hajali hilo ila mawazo yangu juu ya wazazi wake kweli sijui kama hawataniloga hebu nishaurini kwakupitia uzi huu wa mdau alie uanzisha
Nakushauri umpende tena sana,
 
Ukichunguza kwa ndani utagundua ni jambo linalofanywa kuiridhisha Jamii iliyokuzunguka, hivyo unaweza badili dini kwa kuigiza ufukie lengo lako lakini bado ukawa na imani yako ya awali, Na pia napinga vivikali swala la kuuoa mtu wa imani yako tu, Kwani baadae hii husababisha kuwa na Jamii iliyo tengana na hivyo kundi la watu kuuwa watu wa imani ingine panakua na urahisi kwa vile hakuna ndugu yako kule
 
Kwahiyo mkuu allah unayemuabudu ww ni tofauti na anayeabudiwa na wagalatia? Huko ni kujiona ww upo sahihi kwa mungu na wenzio sio sahihi jambo ambalo na wenzio watakuona haupo sahihi bali wao wapo sahihi

Weye wayajua maandiko?? Fuata maandiko tulotirimshiwa naye mwenyewe. Acha kufuata ya watu wasemavyo. Hivi weye, waenda kwa nani mara baada ya kuondoka hapa duniani?? Basi kule unakokuja enda, ameshatoa ramani ya kwenda kwake
 
Mkuu;
Umetoa ushauri mzuri sana ila ukamalizia vibaya. Nakubaliana nawe kuwa, kama mkiridhiana kuwa pamoja regardless ya imani zenu hapo sawa tu. Lakini ninachokataa ni kule kutuaminisha kuwa mungu tunaye muabudu ni mmoja. Hata siku moja usiniambie kuwa Allah Subuhannah Wa Taallah ati ni sawa na huyo wa wagalatia. Hapanaaaaa. Tena usiwachokoze watu wake. Tena akija kwangu hamalizi mwezi kabla sijamsilimisha.
Hahhahahaaaaaa umenichekesha
 
Jombaa nguzo kubwa ya ndoa ni upendo
Hizo mambo za kubadili dini kwani unataka umzae Yesu/Mtume muhammad
 
aisee mie sina upepo na wanawake wa dini yangu,, lakini ndugu zangu upande wa pili naenda nao sawa sana, four yr sasa mambo muruaaaaaa, nakula tu ubuyu
 
Kitu ambacho huwezi kubadili katika maisha yako ni kabila lako tu, lakini dini waweza badili utakavyo.
 
Back
Top Bottom