Hapo ndipo mlipokosea kukubali kulishwa fikra za uadui dhidi Uislam, na ndio zinazouumiza Ulimwengu mpk leo, Uislamu hauna chuki wala haufundishi mabaya ila kwa sababu mlikubali kulishwa hizo fikra na huyo Baba yenu basi haina budi kitokee kinachoendea sasa
Sheikh ni daraja ktk usomi wa dini kwenye Uislam ila kwa hapa town umekuwa kama msemo flani hv katika kunogesha maneno, nadhani jamaa amemaanisha hivyo
Waacheni mi nawajua hao, Wabongo wa ughaibuni wana msongo wa mawazo, pesa wanaipata kwa tabu sana hawalali, muda wa kupumzika hawana, waacheni tu waropoke wakipata vilikizo vyao watakuja kula vitumbua kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.