ISIS wanampigania mungu yupi?

ISIS wanampigania mungu yupi?

Status
Not open for further replies.
Dini ya mwenyaaaazi mungu tena ya haki wanaitetea kwani mungu kashindwa kujitetea,dini ya haki
Tumia akili,hiyo ni photoshop,wanaoangalia tukio wako tofauti na muelekeo wa tukio,na pia sio wenyeji wa Iraq,muenekano wao uko wazi ni wenyeji wa Afghanistani.Na muuwaji hawezi kuwa peke yake bila silaha yoyote,wala wenzake wa kumlinda.Huyo mtu yuko kwenye kitendo tofauti na picha inavyotoa ujumbe.
 
Tulia ubinywe makende, anachofanya huyo kadhi ni ushetani mkubwa,na alaaniwe,obama aanza kazi ya kuutwanga na kuwatwaga hawa watu wenye imani za hovyo

Ndio maana akawaletea sheria wote nyie muwe chakla tuwapumulie, kwa hizo shobo zenu nyie msiokuwa na akili
 
NAONA KADHI ANAMSIGINA MPAKA KUMUUA MTOTO WA MIEZI KWA KOSA LA KUKATAA KUBADILI DINI KUWA MUISLAMU,kweli mahakama za kadhi ni janga

Wewe mahkama ya imeingiaje hapo? Kila mkielimishwa juu lengo na dhamira ya mahkama hii mnajifanya hamuelewi!!! Kasema kweli Allah, wanamasikio lkn hawasikii, wanamacho lakn hawaoni...
 
Hawa viumbe wapuuzi sana wanajadili photo shop.

Ha ha ha ha ha! Teh teh teh
 
Tumia akili,hiyo ni photoshop,wanaoangalia tukio wako tofauti na muelekeo wa tukio,na pia sio wenyeji wa Iraq,muenekano wao uko wazi ni wenyeji wa Afghanistani.Na muuwaji hawezi kuwa peke yake bila silaha yoyote,wala wenzake wa kumlinda.Huyo mtu yuko kwenye kitendo tofauti na picha inavyotoa ujumbe.
Mkuu, ni punguani peke yake ndiyo anaweza kuamini huu upuuzi, muarabu anashika kazu yake anaruka kiunzi wala aina uhusiano na mtoto aliopachikwa hapa chini ya miguu.
 
Mkuu, ni punguani peke yake ndiyo anaweza kuamini huu upuuzi, muarabu anashika kazu yake anaruka kiunzi wala aina uhusiano na mtoto aliopachikwa hapa chini ya miguu.
ritz hata kama iyo ni photos hop ukweli ni kwamba hawa isis ni katili tu si wakuwatetea. Mambo wanayayoyafanyaya ni ya kinyama yako wazi hata kwa waislam wenzao. Hawana tofauti na Israel bush boko Haram phaqin alshabab anti balaka. Watu wema dunian ni shia tu. God bless Iran assad ånd hezbollah. And God bless the only two good sunni muslims gadaffi ånd Saddam. Phaq Isis maam maee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom