killimbajr96
New Member
- May 30, 2015
- 3
- 1
1.Jiunge na uislamu.
uwezi ukawa mtu
1.Jiunge na uislamu.
uwezi ukawa mtu
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
1.Jiunge na uislamu.
uwezi ukawa mtu
Kiongozi umemaliza hawa Waislam
1.Jiunge na uislamu.
uwezi ukawa mtu
Mwisho wenu ni pale tu mlipoudondosha Ujamaa ila huku kwenye Uislamu sidhani kama mtafanikiwa... Poor American.!!!
Nisikilize kwa makini wachana na upuuzi uliongelewa hapa.
Huhitaji Roho Ya Ukatili kama mbadala wa Roho ya Huruma. Mbadala wa Roho ya huruma ni ROHO YA UJASIRI. Utagundua kuwa .. ni hali zinazofanana.
Kwa nini unajitaji ujasiri na na si ukatili. Dunia ilivoleo huruma inamfanya mtu aonewe akose haki na mambo mengine kinyume na haki za binadamu. Kwa hiyo muathirika anakata shauri kuwa ukatili ndio jibu. Si kweli. jibu ni ujasiri.
Ujasiri si kinyume na haki za binadamu bali ukatili.
Unahitaji kuwa imara jasiri na serous na maisha ili kupambana na kuwashinda wakatili .. waonevu .. na wote wenye roho mbaya.
MKUU UMETOA ELIMU YA BURE, ROHO KAMA YAKO NDIYO ANAIHITAJI MLETA MADAMwisho wenu ni pale tu mlipoudondosha Ujamaa ila huku kwenye Uislamu sidhani kama mtafanikiwa... Poor American.!!!
Tafuna pili pili kichaa kwa muda wa siku saba. Alafu jiloweke kwenye pipa linalofuka moshi wa bangi kwa siku tatu.. Alafu shinda njaa kwa muda wa siku mbili.
Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuuNisikilize kwa makini wachana na upuuzi uliongelewa hapa.
Huhitaji Roho Ya Ukatili kama mbadala wa Roho ya Huruma. Mbadala wa Roho ya huruma ni ROHO YA UJASIRI. Utagundua kuwa .. ni hali zinazofanana.
Kwa nini unajitaji ujasiri na na si ukatili. Dunia ilivoleo huruma inamfanya mtu aonewe akose haki na mambo mengine kinyume na haki za binadamu. Kwa hiyo muathirika anakata shauri kuwa ukatili ndio jibu. Si kweli. jibu ni ujasiri.
Ujasiri si kinyume na haki za binadamu bali ukatili.
Unahitaji kuwa imara jasiri na serous na maisha ili kupambana na kuwashinda wakatili .. waonevu .. na wote wenye roho mbaya.
Asante sana nimekuelewa mkuuNenda vingunguti machinjooni kaijiunge na wale wanachinja wanyama uwe mchinjaji wa wanyama utakuwa una roho ya ukatili Mkuu Karakwende
HahahahaaaaaaaIngiza dole gumba machoni halafu usiugulie maumivu au nyoa nywele kwa kuzivuta kichwa kizima hapo utakuwa katili