Kutokana na hali halisi,
Chanzo cha Umaskini na Wizi ni mikataba mibovu, sera ya uwekezaji ni nzuri ila tumepata wawekezaji wabovu na wametufunga na kutusainisha mikataba mibovu hasa kwenye sector ya madini,gesi na rasilimali mbali mbali na hivyo kujikuta Nchi ni Maskini,...na mpaka sasa...