Je, ni wabunge wapi usingependa kuwaona bungeni na kwasababu ipi baada ya uchaguzi wa 2020

GALLABA

Member
Dec 19, 2016
63
119
Kutokana na mienendo yao sasa hv, ni wazi wabunge wafuatao ni ngumu kurudi tena bungeni ama waapata changamoto nyingi sana kurudi bungeni

1.Saed Kubenea(Ubungo): huyu amewaangusha sana upinzani tulitegemea alete changamoto nyingi sana bungeni awe front line na kina tundu lissu,mbowe na mnyika bungeni , lakini kumbe nguvu yake ni ya kalamu tuuu, atapata upinzani mkubwa sana kama Boniface jacob meya wa ubungo na mentor wake kisiasa ataamua kugombea ubunge, viel vile kuwa mbunge wa ubungo needs much creativity kwasababu ni jimbo lenye changamoto nyingi ,ushauri aende kugombea kwao mafia

2.Micheal Jaffary.(Moshi Mjini):kumekuwa na mgogoro mzito katika chama chake hasa wilaya, na inesemekana haelewani vizuri na ndesamburo ambaye ni mwenyekiti wake mkoa, huyu anaweza asifurukute kura za maoni. lakini amekuwa na hoja nzuri sana jimboni na mchapakazi kwa wapiga kura wake

3.Joseph Mbilinyi (Mbeya Mjini): Huyu namuona kama hayupo serious sasa hv, anafanya vitu kimasihara sihara, anatakiwa ajipange sana kwani hajui CCM wamejipanga vipi mbeya mjini na anaweza kupata upinzani mkali pia ndani Chama, naona amefocus sana na maisha yake binafsi na hoteli yake anayojenga. ujana bado pia unamsumbua

4.Magdalena Sakaya(Kaliua): Mahaba kwa Prof.Lipumba yamemponza, kwani mpaka sasa hv hajui hatma yake kisiasa, ni kama ameweka jimbo lake rehani kisa Lipumba, kwasasabu ameshafukuzwa uanachama. anasubiri hatma ya mahakama

5.Maftah Nachuma(Mtwara Mjini): Huyu nae sijui pepo gani lilimwingia, Mahaba kwa Prof.Lipumba yamemponza pia, nae ni mbunge wa mahakama kwani alishafukuzwa Uanachama, naona vijana wengi wa sasa hv hawajui mahesabu yao kisiasa, ajifunze kwa Machali
 
Robo tatu ya maccm hawarudi...
Bila kusahau ba-bash kuwa atatokea mlango wa nyuma pale magogon
 
Kutokana na mienendo yao sasa hv, ni wazi wabunge wafuatao ni ngumu kurudi tena bungeni ama waapata changamoto nyingi sana kurudi bungeni

1.Saed Kubenea(Ubungo): huyu amewaangusha sana upinzani tulitegemea alete changamoto nyingi sana bungeni awe front line na kina tundu lissu,mbowe na mnyika bungeni , lakini kumbe nguvu yake ni ya kalamu tuuu, atapata upinzani mkubwa sana kama Boniface jacob meya wa ubungo na mentor wake kisiasa ataamua kugombea ubunge, viel vile kuwa mbunge wa ubungo needs much creativity kwasababu ni jimbo lenye changamoto nyingi ,ushauri aende kugombea kwao mafia

2.Micheal Jaffary.(Moshi Mjini):kumekuwa na mgogoro mzito katika chama chake hasa wilaya, na inesemekana haelewani vizuri na ndesamburo ambaye ni mwenyekiti wake mkoa, huyu anaweza asifurukute kura za maoni. lakini amekuwa na hoja nzuri sana jimboni na mchapakazi kwa wapiga kura wake

3.Joseph Mbilinyi (Mbeya Mjini): Huyu namuona kama hayupo serious sasa hv, anafanya vitu kimasihara sihara, anatakiwa ajipange sana kwani hajui CCM wamejipanga vipi mbeya mjini na anaweza kupata upinzani mkali pia ndani Chama, naona amefocus sana na maisha yake binafsi na hoteli yake anayojenga. ujana bado pia unamsumbua

4.Magdalena Sakaya(Kaliua): Mahaba kwa Prof.Lipumba yamemponza, kwani mpaka sasa hv hajui hatma yake kisiasa, ni kama ameweka jimbo lake rehani kisa Lipumba, kwasasabu ameshafukuzwa uanachama. anasubiri hatma ya mahakama

5.Maftah Nachuma(Mtwara Mjini): Huyu nae sijui pepo gani lilimwingia, Mahaba kwa Prof.Lipumba yamemponza pia, nae ni mbunge wa mahakama kwani alishafukuzwa Uanachama, naona vijana wengi wa sasa hv hawajui mahesabu yao kisiasa, ajifunze kwa Machali
Hao na. 1,2, na 3 wataondoka kwa sababu sio wenzetu wa kithuthio.
 
Kutokana na mienendo yao sasa hv, ni wazi wabunge wafuatao ni ngumu kurudi tena bungeni ama waapata changamoto nyingi sana kurudi bungeni

1.Saed Kubenea(Ubungo): huyu amewaangusha sana upinzani tulitegemea alete changamoto nyingi sana bungeni awe front line na kina tundu lissu,mbowe na mnyika bungeni , lakini kumbe nguvu yake ni ya kalamu tuuu, atapata upinzani mkubwa sana kama Boniface jacob meya wa ubungo na mentor wake kisiasa ataamua kugombea ubunge, viel vile kuwa mbunge wa ubungo needs much creativity kwasababu ni jimbo lenye changamoto nyingi ,ushauri aende kugombea kwao mafia

2.Micheal Jaffary.(Moshi Mjini):kumekuwa na mgogoro mzito katika chama chake hasa wilaya, na inesemekana haelewani vizuri na ndesamburo ambaye ni mwenyekiti wake mkoa, huyu anaweza asifurukute kura za maoni. lakini amekuwa na hoja nzuri sana jimboni na mchapakazi kwa wapiga kura wake

3.Joseph Mbilinyi (Mbeya Mjini): Huyu namuona kama hayupo serious sasa hv, anafanya vitu kimasihara sihara, anatakiwa ajipange sana kwani hajui CCM wamejipanga vipi mbeya mjini na anaweza kupata upinzani mkali pia ndani Chama, naona amefocus sana na maisha yake binafsi na hoteli yake anayojenga. ujana bado pia unamsumbua

4.Magdalena Sakaya(Kaliua): Mahaba kwa Prof.Lipumba yamemponza, kwani mpaka sasa hv hajui hatma yake kisiasa, ni kama ameweka jimbo lake rehani kisa Lipumba, kwasasabu ameshafukuzwa uanachama. anasubiri hatma ya mahakama

5.Maftah Nachuma(Mtwara Mjini): Huyu nae sijui pepo gani lilimwingia, Mahaba kwa Prof.Lipumba yamemponza pia, nae ni mbunge wa mahakama kwani alishafukuzwa Uanachama, naona vijana wengi wa sasa hv hawajui mahesabu yao kisiasa, ajifunze kwa Machali
Na hao 4 na 5 hawatakiwi na CHADEMA.
 
Kuna hawa,1.lorencia bukwimba wa busanda,2.kanyasu wa geita mjini hawa watu kama uchaguzi utakuwa wa haki hawatarudi kamwe bungeni.hawajui majukumu yao kbs
 
Kuna hawa,1.lorencia bukwimba wa busanda,2.kanyasu wa geita mjini hawa watu kama uchaguzi utakuwa wa haki hawatarudi kamwe bungeni.hawajui majukumu yao kbs
Umetumia vigezo vipi kusema hawatarudi? Ww mwenye shamba tulia utaona uliowataja watakavyoibuka kidedea
 
Nadhani huijui Mbeya wewe. Sugu huwezi kumng'oa Mbeya. Kwanza CCM haiwezi kuchaguliwa Mbeya.

Nawashauri NEC wagawe jimbo la Mbeya na Arusha maana yamekuwa na wapiga kura wengi. Hapo najua watakuwa wameongeza wabunge wa CDM wengine wapya.

Mungu Ibariki Mbeya na wabariki wanaoishi huko na wanafiki wote wahame isiwe kama Mkoa wa Tabora. Tabora ccm = 80%, Mbeya ccm = 30% na hiyo ni kizazi cha wazee yaani above 55% na wale antibook.
 
Wapo wengi yaani ungewaandika woteeeee, kasoro wawili tu na sio watafuta kiki za blah blah kila kukicha.
 
Kwa binafsi yangu sipendi kuwaona Tundu Lisu na Halima Mdee kwani kazi yao kubwa ni kukashifu serikali huku wapiga kura wao wakiwa na kero lukuki.

Mfano wa Lissu ni singida mashariki ipo nyuma sana kielimu maji safi ni tatizo kubwa na mbunge hana jitihada zozote za kutatua shida hizo kazi yake ni kukashifu serikali na kujilimbikizia madaraka yasio na manufaa kwa wapiga kura wake upande wa Mdee alishindwa kutatua mgogoro wa ardhi Mabwepande mpaka mkuu wa mkoa Bw Paulo Makonda akafanya
 
kwa binafsi yangu sipendi kuwaona tundu lisu na halima mdee kwani kazi yao kubwa ni kukashifu serikali huku wapiga kura wao wakiwa na kero lukuki mfano singida mashariki ipo nyuma sana kielimu maji safi ni tatizo kubwa na mbunge hana jitihada zozote za kutatua shida hizo kazi yake ni kukashifu serikali na kujilimbikizia madaraka yasio na manufaa kwa wapiga kura wake

Duh kweli shule muhimu

Ulicho kiandika embu rudia kusoma kama hata wewe utaelewa

Kweli elimu ni ufunguo Wa maisha
 
Back
Top Bottom