Kutokana na kauli ya waziri kairuki kwamba mkuu wa mkoa au wilaya awe anajua kusoma na kuandika tu, napenda kushauri ziwe ni ceremonial posts yaani kazi ya kukata utepe tu na kuhudhuria sherehe na matamasha, lakini sio
1.Kufanya maamuzi mazito ndani ya halmashauri mf.Mh.Gambo na madiwani Arusha, kuamuru watendaji wawekwe ndani mf Mh.Paul Makonda,
2.Kuwa ndio mwenyekiti kamati ya ulinzi na kujipa madaraka makubwa dhidi ya Rpc mfano.makonda alipotangaza wauza unga
3.Kulipwa posho na mshahara mkubwa, na hata wasitengewe bajeti kabisa. kwasababu ni non fuctional kutokuwepo kwao hakutafanya kazi ziende , wawe kama mameya,
4.kutoingilia maamuzi yoyote dhidi ya baraza la madiwani,halmashauri zaidi ya kushauri tu
Kwasababu siku zote akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa,
1.RPC -professionally ni polisi, mwenye uzoefu na mafunzo ya usalama wa raia na mali zao, kwanini mtu mwenye elimu ya darasa la saba amtawale huyu. anatakiwa aripoti kwa IGP,
Mh.Adadi Rajabu aliwahi kunena wanasiasa wanaharibu ushahidi
2.Wakurugenzi wa Halmashauri/Majiji-hawa ni wazoefu na wenye elimu ya kutosha kwanini mtu wa darasa la saba amtawale huyu
3.Watendaji wa serikali, kundi hili kuna wanasheria,madaktari, wahasibu kwanini mkuu wa mkoa,wilaya awe juu yao wakati wamemzidi elimu, hivi mwanasheria akifoji mkataba inakuwaje, mhasibu akifoji malipo inakuwaje, mkaguzi akiandika ripoti tofuati inakuwaje,
darasa la saba atajua, wakati anahitajika mtu msomi zaidi yao au mwenye uzoefu kuwatawala
Ushauri tu,
1.Kufanya maamuzi mazito ndani ya halmashauri mf.Mh.Gambo na madiwani Arusha, kuamuru watendaji wawekwe ndani mf Mh.Paul Makonda,
2.Kuwa ndio mwenyekiti kamati ya ulinzi na kujipa madaraka makubwa dhidi ya Rpc mfano.makonda alipotangaza wauza unga
3.Kulipwa posho na mshahara mkubwa, na hata wasitengewe bajeti kabisa. kwasababu ni non fuctional kutokuwepo kwao hakutafanya kazi ziende , wawe kama mameya,
4.kutoingilia maamuzi yoyote dhidi ya baraza la madiwani,halmashauri zaidi ya kushauri tu
Kwasababu siku zote akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa,
1.RPC -professionally ni polisi, mwenye uzoefu na mafunzo ya usalama wa raia na mali zao, kwanini mtu mwenye elimu ya darasa la saba amtawale huyu. anatakiwa aripoti kwa IGP,
Mh.Adadi Rajabu aliwahi kunena wanasiasa wanaharibu ushahidi
2.Wakurugenzi wa Halmashauri/Majiji-hawa ni wazoefu na wenye elimu ya kutosha kwanini mtu wa darasa la saba amtawale huyu
3.Watendaji wa serikali, kundi hili kuna wanasheria,madaktari, wahasibu kwanini mkuu wa mkoa,wilaya awe juu yao wakati wamemzidi elimu, hivi mwanasheria akifoji mkataba inakuwaje, mhasibu akifoji malipo inakuwaje, mkaguzi akiandika ripoti tofuati inakuwaje,
darasa la saba atajua, wakati anahitajika mtu msomi zaidi yao au mwenye uzoefu kuwatawala
Ushauri tu,