CPA graduates , lazima kujifunza kazi ya uhasibu, kazi ya uhasibu lazima ujue tangu chini hadi kutengeneza tb, unaweza kutumia package zake lakini wewe lazima ujue dr na cr, kwa hiyo kabla kufikria cheo fikiria uwezo wako wa kazi, nendeni kwenye audit firm , wakufunze halafu omba kazi nzuri
Ni lazima somo la uraia lirudi tena mashuleni ili kila mtu ajuwe thamani ya nchi yake na hakuna popote utaipata na la pili kwa wanaye mjua Mungu lazima wawafundishe watoto wao kuwa wizi, ufisadi nk ni dhambi tangu hapa hata maisha yajao na kwa wale wasiojua neno , serikali itunge adhabu kali...
Waarabu jiangalieni adui yenu mkubwa alikuwa nani? Na leo mnauana kwa ushia na usuni halafu silaha mnanua kwa nani? EH Mungu wa Ibrahim wanusuru watumwa hawa
Mchezo mnaotabiria ni mbaya sana hautakuacha hata wewe unaye shabikia , cheo apewe mtu kwa uwezo wake sio vinginevyo , imefika wakati katiba yetu itamke wazi kwamba , presidential appointment zidhibitishwe na bunge
Ni haki yake kuongea, lakini haonyeshi hekima kea kuwa anachuki hivyo adui hata akifanya jema vipi hawezi kusifiwa, huyu si ndiye alieanza kukosa heshima kwa Baba wa Taifa
Waafrika ni mataka wa wazungu,waamerika na sasa wachina ,wamekubali ku gumballs wa na kukubali kutotumia akili zao,uongozi Wote wa afrika hucheza ngoma wasioijua,bahati mbaya hata kwenye dini zetu wanatapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.