Magufuli azua Taharuki CUF, wajipanga kimya kimya kushiriki Uchaguzi

Nimependa maandiko yako Ndugu yangu, ila unadhani hakuna wana-CUF wanaopenda CUF ishiriki uchaguzi? Au unadhani hakuna wana-CUF wanaoweza kumpigia mgombea wa CCM? Siasa ni mchezo wa ajabu, niliwahi kuona familia moja na ambayo iko katika chama kimoja lakini hawakumpigia mgombea kutoka katika familia yao.
1954,
Inawezekana chama kimoja kikawa na wanachama wa fikra
zinazokinzana.

Huu ndiyo uhai wa chama chochote cha siasa.
Lakini tofauti hizi zitakuwa kwenye jambo la akida.

Kurudia uchaguzi si jambo la akida.
Uchaguzi umefanyika na CUF wameshinda.

Haiwezekani chama makini kama CUF wanachama wake
wakarejea nyuma kwani huko kutakuwa ni kusaliti akida.

Wanchama watakachotaka ni kuona kuwa kura zao zinaheshimiwa.
 
watakuwa wamejipeleka wenyewe shimoni,sisi kazi yetu itakuwa kuwafukia tu, tena kwa dongo la mfinyanzi.
What next? chama kimoja cha siasa ? Au mnamtaka Sultani mnayedai mllimpindua kwa mapinduzi matukufu? Atarudi kwa gia mpya ya chama kimoja kama ilivyokuwa hapo nyuma. Nini maana ya demokrasia?
 
Hata mimi nimeishangaa hii habari ya "watu eti kujipanga kushiriki kimyakimya" wakati walishautangazia umma wa Tanzania na Dunia nzima kwa sauti kubwa na ya juu kabisa kuwa hawatashiriki na kwa sababu ambazo ni very valid na kila mmoja anazijua ikiwemo kubwa na kuu kuliko zote ya uchaguzi wenyewe uitwao "wa marudio" kuwa haupo na kwa hiyo si halali na ni batili kisheria na kikatiba!!

Utawezaje kushiriki kwenye jambo kubwa kama uchaguzi ambao hauko supported na sheria wala katiba iwe kwa "sauti ya juu" au kwa kunyetia "kimya kimya" kama ambavyo wanapropaganda wa CCM wanavyojaribu kutuhadaa kupitia vipeperushi vyao hivi?

Nadhani hii ni propaganda tu ya kujaribu kuwachanganya baadhi ya wazanzibar na watu wengine ambao hawana taarifa za kutosha juu ya ujinga na upuuzi unaoendelea huko Zenj. Hii ni dalili kwamba Jecha na CCM yake wamekabwa koo!

Nia yao ya kutoshiriki itaathiriwa na ukiukwaji mdogo wa sheria na taratibu uliosababishwa na viongozi wa cuf. Sheria na taratibu za tume ya uchaguzi Zanzibar ziliitaka cuf toka mwanzo walipokubaliana kutoshiriki marudio ya uchaguzi kwa sababu wanazozieleza kila siku kumwandikia m/kiti wa tume kuhusu kutoshiriki kwao katika uchaguzi huo na kwa muda muafaka kabla ya kutangazwa tender ya uchapishwaji karatasi za kupigia kura.Wangefanya hivyo mapema tume ingemwagiza mchapaji kutoweka majina na picha za wagombea wa cuf.Madhara yatakayotokea wakati wa upigaji kura ni kuwa zile karatasi zitakuwa na picha na majina ya wagombea wote wa cuf na kisanduku cha kuwachagua.Uelewe huwezi kuwazuia wapiga kura wote wa cuf wasishiriki zoezi wapo watakaokwenda kwa nia njema au ovu na kwa kuwa nao wagombea wa cuf walikuwa na wapenzi wao wanaweza kuwapigia kura kwa kuona majina na picha zipo.Hivyo hivyo inaweza kutokea kura kutosha na kushinda.Ccm ni wanafiki na werevu na ili kuionyeaha dunia demokrasia ipo watawaapisha. Cuf itamfukuza uanachama na ccm kumruhusu kuhamia chama chochote na ushindi wake.Nia mbaya niliyosema ni kugawa kura kupunguza idadi ya kura za ccm na haya ni makusudi.Ninachouliza ni kwanini viongozi wa cuf na wanasheria wao waliruhusu hili litokee?Tena wasijidanganye kwenda mahakamani kuweka zuio uchaguzi usifanyike. Pingamizi litatupwa haraka kwa kuambiwa ni nje ya muda na taifa limeshaingia gharama kubwa ya mabillioni zikiwa ni kodi za wananchi.Busara ni kujipanga kuanzia sasa kwa uchaguzi wa 2020.
 
Nia yao ya kutoshiriki itaathiriwa na ukiukwaji mdogo wa sheria na taratibu uliosababishwa na viongozi wa cuf. Sheria na taratibu za tume ya uchaguzi Zanzibar ziliitaka cuf toka mwanzo walipokubaliana kutoshiriki marudio ya uchaguzi kwa sababu wanazozieleza kila siku kumwandikia m/kiti wa tume kuhusu kutoshiriki kwao katika uchaguzi huo na kwa muda muafaka kabla ya kutangazwa tender ya uchapishwaji karatasi za kupigia kura.Wangefanya hivyo mapema tume ingemwagiza mchapaji kutoweka majina na picha za wagombea wa cuf.Madhara yatakayotokea wakati wa upigaji kura ni kuwa zile karatasi zitakuwa na picha na majina ya wagombea wote wa cuf na kisanduku cha kuwachagua.Uelewe huwezi kuwazuia wapiga kura wote wa cuf wasishiriki zoezi wapo watakaokwenda kwa nia njema au ovu na kwa kuwa nao wagombea wa cuf walikuwa na wapenzi wao wanaweza kuwapigia kura kwa kuona majina na picha zipo.Hivyo hivyo inaweza kutokea kura kutosha na kushinda.Ccm ni wanafiki na werevu na ili kuionyeaha dunia demokrasia ipo watawaapisha. Cuf itamfukuza uanachama na ccm kumruhusu kuhamia chama chochote na ushindi wake.Nia mbaya niliyosema ni kugawa kura kupunguza idadi ya kura za ccm na haya ni makusudi.Ninachouliza ni kwanini viongozi wa cuf na wanasheria wao waliruhusu hili litokee?Tena wasijidanganye kwenda mahakamani kuweka zuio uchaguzi usifanyike. Pingamizi litatupwa haraka kwa kuambiwa ni nje ya muda na taifa limeshaingia gharama kubwa ya mabillioni zikiwa ni kodi za wananchi.Busara ni kujipanga kuanzia sasa kwa uchaguzi wa 2020.

Sawa, nimekuelewa.

...Lakini kumbuka kuwa mchakato wote wa hicho kinachoitwa "uchaguzi wa marudio" ni batili kisheria na kikatiba!!

...Kwa kesi hiyo CUF kuwataarifu tu hao ZEC iwe kwa barua ya mistari miwili, mmoja au hata wangenyamaza tu na kumwacha Jecha kwa maelekezo ya CCM kuendelea na hayo mazingaombwe yake hayo aliyoyapa jina hilo, hakuathiri chochote matokeo ya uchaguzi halali wa trh 25/10/2015!!

Mimi nadhani tusubiri matokeo ya huo unaoitwa "uchaguzi wa marudio" (ambao wanaoona mbali wameshasema, possibility ni 90% kutokufanyika) na ambao hata katiba ya Zenj ya 1984 haiutambui wala kuutaja ktk kifungu chochote, yatoke tuone nani atakuwa ni nani kati ya washindi wa ule wa 25/10/2015 na huo ujao!

...Kwangu mimi naona hapo ndo battle ya kisheria kupitia mahakama itakapoanza (kwa mahakama kutakiwa kutamka nani ni kiongozi halali wa kuchaguliwa kupitia mchakato wa uchaguzi halali kwa mujibu wa sheria na katiba kati ya wa 25/10/2015 na 20/3/2016).

...Kwa sasa, ofcoz hakuna yeyote atakayeenda mahakamani ktk hatua hii kwa sbb ndiyo mtego wa ZEC na CCM wa kutaka kuuhalalisha mchakato huu batili unaoendelea. Bahati njema ni kuwa CUF wameuona!

...Kwa hiyo waweza kuona kuwa hata ishu sijui ya gharama au picha za wagombea waliotangaza kujitoa kuendelea kutumika na hata wana CUF kujitokeza kupiga kura mbaya au nzuri mwezi ujao, si hoja na haina maana yoyote bali wote wapiga kura na serikali watakuwa wanapoteza raslimali zao ya muda na fedha bure kwa jambo mwisho wa siku litakataliwa kwa sbb ni batili.

...Pia ni kitu ambacho achilia mbali kukataliwa, kitasababisha na kuingiza nchi ktk mgogoro mkubwa wa kisiasa na kikatiba!
 
1954,
Inawezekana chama kimoja kikawa na wanachama wa fikra
zinazokinzana.

Huu ndiyo uhai wa chama chochote cha siasa.
Lakini tofauti hizi zitakuwa kwenye jambo la akida.

Kurudia uchaguzi si jambo la akida.
Uchaguzi umefanyika na CUF wameshinda.

Haiwezekani chama makini kama CUF wanachama wake
wakarejea nyuma kwani huko kutakuwa ni kusaliti akida.

Wanchama watakachotaka ni kuona kuwa kura zao zinaheshimiwa.

Thanks. CUF walishinda Uchaguzi?! Sina hakika na hilo. Ni nani amesema CUF wameshinda uchaguzi? Kauli za namna hii kamwe haziwezi kuleta muafaka. Baadala ya kukaa na kujadiliana on what went wrong, mnakazania kusema CUF ilishinda uchaguzi. Ilishinda kivipi. CUF walipata kura ngapi na CCM alipata kura ngapi, na wote walioshiriki kura zao zilikuwa ni zipi, na ni nani aliyetoa idadi ya kura hizo. Kwa maana kuwa na legal evidence kuonyesha kuwa CUF ilishinda uchaguzi na CCM ilishindwa. Sasa kama watu wazima tunakaa na kusema CUF walishinda uchaguzi na kwamba hawawezi kurudi nyuma, then there is a big problem here or there. Ni vizuri watu wawe wakweli kwa Zanzibar, ideological differences haziwezi kusaidia. Mueleze waziwazi kwanini Jecha alifuta uchaguzi na kama ana haki ya kufanya hivyo au hana. Je, katika ZEC ni wangapi walikubaliana kuwa uchaguzi urudiwe na wangapi walikataa...
 
Nimependa maandiko yako Ndugu yangu, ila unadhani hakuna wana-CUF wanaopenda CUF ishiriki uchaguzi? Au unadhani hakuna wana-CUF wanaoweza kumpigia mgombea wa CCM? Siasa ni mchezo wa ajabu, niliwahi kuona familia moja na ambayo iko katika chama kimoja lakini hawakumpigia mgombea kutoka katika familia yao.
Wapo wana-CUF ambao wangependa washiriki uchaguzi... hawa ni wale ambao wanaamini katika sanduku la kura! Hata mimi, ningekuwa mwana-CUF, ningependa tushiriki uchaguzi kv kususia kutainufaisha zaidi CCM kuliko kinyume chake! Kwamba hakuna wana-CUF wanaoweza kumpigia mwana-CCM... hapa ningependa kuwagawa ktk makundi mawili... wana-CUF wa Pemba kwa maana ya Wapemba na wana-CUF wa Unguja kwa maana wasio Wapemba!

Hawa Wapemba mie nishawapa shikamoo nyingi sana tangu kitambo! Katika Tanzania hii hakuna cha Kilimanjaro, Arusha wala Mbeya! Wote hawa ukiwawekea mtu wa kabila lao wanakengeuka kama walivyokengeuka Wasukuma kwenye uchaguzi uliopita! Wapemba hawana cha Mpemba mwenzetu... ili mradi unawakilisha CCM, wewe si mwenzao! Na ndio maana nina amini, hata CUF wasiposhiriki, bado Dr. Shein atacheza na percentage zilezile... za 50's wakati yupo! Wapemba wala hawana muda wa kuwaza kwamba huyu Shein ni Mpemba mwenzetu! So, si kwamba hakuna kabisa wana-CUF wanaoweza kuipigia CCM... wapo lakini idadi yao haiwezi kuwa kubwa na sababu zinaweza kuwa ni za kijamii zaidi kuliko za kisiasa.
 
Wawakilishi wa cuf walikopa na wakashinda sasa wasiporejea hayo madeni watalipaje, miashahara ya uwaziri nayo itapotea!
 
Nimependa maandiko yako Ndugu yangu, ila unadhani hakuna wana-CUF wanaopenda CUF ishiriki uchaguzi? Au unadhani hakuna wana-CUF wanaoweza kumpigia mgombea wa CCM? Siasa ni mchezo wa ajabu, niliwahi kuona familia moja na ambayo iko katika chama kimoja lakini hawakumpigia mgombea kutoka katika familia yao.
Hahaha ndugu yangu cuf hakuna MTU wa kuhonga kapelo wala pilau kule ni sauti moja tu
 
Wapo wana-CUF ambao wangependa washiriki uchaguzi... hawa ni wale ambao wanaamini katika sanduku la kura! Hata mimi, ningekuwa mwana-CUF, ningependa tushiriki uchaguzi kv kususia kutainufaisha zaidi CCM kuliko kinyume chake! Kwamba hakuna wana-CUF wanaoweza kumpigia mwana-CCM... hapa ningependa kuwagawa ktk makundi mawili... wana-CUF wa Pemba kwa maana ya Wapemba na wana-CUF wa Unguja kwa maana wasio Wapemba!

Hawa Wapemba mie nishawapa shikamoo nyingi sana tangu kitambo! Katika Tanzania hii hakuna cha Kilimanjaro, Arusha wala Mbeya! Wote hawa ukiwawekea mtu wa kabila lao wanakengeuka kama walivyokengeuka Wasukuma kwenye uchaguzi uliopita! Wapemba hawana cha Mpemba mwenzetu... ili mradi unawakilisha CCM, wewe si mwenzao! Na ndio maana nina amini, hata CUF wasiposhiriki, bado Dr. Shein atacheza na percentage zilezile... za 50's wakati yupo! Wapemba wala hawana muda wa kuwaza kwamba huyu Shein ni Mpemba mwenzetu! So, si kwamba hakuna kabisa wana-CUF wanaoweza kuipigia CCM... wapo lakini idadi yao haiwezi kuwa kubwa na sababu zinaweza kuwa ni za kijamii zaidi kuliko za kisiasa.

Nakushukuru kwa namna ulivyonijibu, nimeelimika na hoja zako. Thanks a lot, Ndugu yangu.
 
kwi kwa kwa Generali ulimwengu baada ya kufanyiziwa hasahau kamua kuwa teja wa ccm hana aibu tena soni zimemshuka Magufuli kasema hahusiki hataki sio raisi wa muungano bali wa Tanganyika CUF watampata taharuki gani mtu amewatenga aendelee kutumbua maraha hapo ikulu lakini Zanzibar haitapotea kwa kwa sababu magufuli hatajihusisha na mambo ya Zanzibar CUF hoye timbwili za mapropagandist zimekomaa
 
Nia yao ya kutoshiriki itaathiriwa na ukiukwaji mdogo wa sheria na taratibu uliosababishwa na viongozi wa cuf. Sheria na taratibu za tume ya uchaguzi Zanzibar ziliitaka cuf toka mwanzo walipokubaliana kutoshiriki marudio ya uchaguzi kwa sababu wanazozieleza kila siku kumwandikia m/kiti wa tume kuhusu kutoshiriki kwao katika uchaguzi huo na kwa muda muafaka kabla ya kutangazwa tender ya uchapishwaji karatasi za kupigia kura.Wangefanya hivyo mapema tume ingemwagiza mchapaji kutoweka majina na picha za wagombea wa cuf.Madhara yatakayotokea wakati wa upigaji kura ni kuwa zile karatasi zitakuwa na picha na majina ya wagombea wote wa cuf na kisanduku cha kuwachagua.Uelewe huwezi kuwazuia wapiga kura wote wa cuf wasishiriki zoezi wapo watakaokwenda kwa nia njema au ovu na kwa kuwa nao wagombea wa cuf walikuwa na wapenzi wao wanaweza kuwapigia kura kwa kuona majina na picha zipo.Hivyo hivyo inaweza kutokea kura kutosha na kushinda.Ccm ni wanafiki na werevu na ili kuionyeaha dunia demokrasia ipo watawaapisha. Cuf itamfukuza uanachama na ccm kumruhusu kuhamia chama chochote na ushindi wake.Nia mbaya niliyosema ni kugawa kura kupunguza idadi ya kura za ccm na haya ni makusudi.Ninachouliza ni kwanini viongozi wa cuf na wanasheria wao waliruhusu hili litokee?Tena wasijidanganye kwenda mahakamani kuweka zuio uchaguzi usifanyike. Pingamizi litatupwa haraka kwa kuambiwa ni nje ya muda na taifa limeshaingia gharama kubwa ya mabillioni zikiwa ni kodi za wananchi.Busara ni kujipanga kuanzia sasa kwa uchaguzi wa 2020.
The game was over since 25 oct .watakaopelekwa ni watu kutoka bora kwa ajili ya kupiga kura kwa maelekezo na kuengeza idadi kwana hata hao ccm wapo wengi ambao hawata kwenda hasa pemba .na wala sio kama hawatokwenda kwa vitisho no bali ni utashi wao tu .uchaguzi ni kama fainali sio kama game ya home and away .kalenda ya uchaguzi kwa wazanzibari ilishapita 25oct .


Wazanzibari hawakuzaliwa kwa ajili ya kupangishwa mistari na wadhulumuna .the gawas over .no return no way .
 
Tatizo la propaganda ya Uongo iliyoandikwa Na Gazeti LA Rai mwema wameficha Chanzo wao ili wauze !

Lakini Gazeti Nipashe LA Leo wameweka chanzo cha propaganda ya Uongo huo ni Ccm kupitia Naibu Katibu mKuu Zanzibar
 
Magazeti ambayo huwa siyatupii macho kabisa tokea 1992 hadi sasa ni: Uhuru na Mzalendo ; halafu yaliyoongezeka tokea July 2014 ni: Raia Mwema na Mtanzania.
 
Thanks. CUF walishinda Uchaguzi?! Sina hakika na hilo. Ni nani amesema CUF wameshinda uchaguzi? Kauli za namna hii kamwe haziwezi kuleta muafaka. Baadala ya kukaa na kujadiliana on what went wrong, mnakazania kusema CUF ilishinda uchaguzi. Ilishinda kivipi. CUF walipata kura ngapi na CCM alipata kura ngapi, na wote walioshiriki kura zao zilikuwa ni zipi, na ni nani aliyetoa idadi ya kura hizo. Kwa maana kuwa na legal evidence kuonyesha kuwa CUF ilishinda uchaguzi na CCM ilishindwa. Sasa kama watu wazima tunakaa na kusema CUF walishinda uchaguzi na kwamba hawawezi kurudi nyuma, then there is a big problem here or there. Ni vizuri watu wawe wakweli kwa Zanzibar, ideological differences haziwezi kusaidia. Mueleze waziwazi kwanini Jecha alifuta uchaguzi na kama ana haki ya kufanya hivyo au hana. Je, katika ZEC ni wangapi walikubaliana kuwa uchaguzi urudiwe na wangapi walikataa...
1954,
Ukisoma historia ya Zanzibar kuna mengi utayajua.

Mwaka wa 2011 nilikuwa mmoja wa washiriki wa Meza ya Duara
kipindi cha Sauti ya Ujerumani.

Kati ya washiriki alikuwa Saleh Feruzi wa CCM Zanzibar.
Nilimwambia kuwa CCM haijapata kushinda uchaguzi.

Alinihamakia na akaniuliza habari hizo nimepata wapi.

Nikamwambia mwaka wa 1995 Ali Ameir aliandika barua Tume
akikataa kukubali matokeo ya kura ambayo Salmin Amour alikuwa
ameshindwa.

Fanya utafiti wako kuhusu uchaguzi wa wa 2010 kisha rejea na
majibu In Shaallah.

Usipoteze muda wako na Jecha.
 
Back
Top Bottom