Ingawa tuna uhakika wa kupata umeme bila kukatika kwa at least 85% but gharama ya umeme ni kubwa sanaaa sanaaaaaa,, gharama ikipungua,, Hakika tutajivunia UMEME Tz..
Habari nilitakiwa nilipe TRA kupitia account yao ya CRDB, Kwa Bahati mbaya nikatuma direct kupitia simu yangu,na kumbe nilitakiwa nikalipe moja kwa moja CRDB BANK.
Niliporudi kwa watu wa TRA wakanambia hiyoo hela uliyolipa kupitia simu yako ya mkononi direct ndio imeshapotea hiyoo,,kalipe bank...
HIVI UNAWEZA UKIWA UNASOMA DEGREE YA KWANZA,BAADA YA KUMALIZA MWAKA WA PILI UKAAMUA KUCHUKUA MATOKEO YA MIAKA MIWILI,UKAENDA KUMALIZIA MWAKA WA TATU KATIKA CHUO KINGINE??
Kama inawezekana vigezo ni vipi??
Na ni vyuo gani vinapokea mwanafunzi wa aina hiyo??
Msaada tafadhalii????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.