Karibuni Open university of Tanzania

Karibuni Open university of Tanzania

Mkuu, ili kujiunga masters mtu anatakiwa ana minimum gpa ya ngapi ?!
 
Mtu anaweza akachukua matokeo ya MWAKA wa kwanza na wa pili akaja kumalizia hapo MWAKA wa tatu??
 
Ada ni Tshs ngapi kwa degree? Mtu anaweza kuhamia Open Uni ? Kama ndio vigezo/masharti na utaratibu upoje?
 
Tena wanao jielewa kweli kweli, ukijiandaa kwa kupewa lectures na walimu au mitihani kuwa "open book exams" utapata tabu sana. Ni chuo kitakacho kufanya ujitafutie materials japo unaweza kufanya consultations kwa walimu mda wowote wa kazi na ushirikiane na wengine kwa kiwango cha juu sana. Na pale kuna wanafunzi ambao ni watu mashuhuri na wakubwa serikalini so kwa kijana ambaye anachipukia kwenye mchongo wowote anaweza kupata connections if possible in future.
kwa taarifa tu DC JOKATE tuko nae class open
 
Nataka sana kujiunga open university kuchukua dgrr lkn mfumo wa material ukoje,quiz zke zikoje mm Niko peke yng kujisomea naweza fanikiwa kwel?
 
Back
Top Bottom