Kupata kazi au cheo bila ‘connection’ sahau

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wakuu.

Hii nchi ngumu sana , tamu sana !

Yaani kazi yoyote ile kuipata bila connection ni kazi sana. Yaani lazima mtu akudokeze , akusukume , akuunganishe au fitina lazima ifanyike.

Unakuta kazi kabla haijatangazwa tayari wenye ndugu wanajua na wameshatambulishwa mahali! Kuita watu Interview toka Mikoani ni dhambi kubwa sana.

Unawaita watoto wa watu wanajichanga huko mikoani wanasafiri mpaka mjini kwa shida.

Wanaingia interview wakati kazi watu wamepewa. Kijana wa watu anarudi kijijini kwa taabu sana.

Tanzania kazi kabla hata haijachapishwa kwa gazeti , watu wameshasubmit vyeti.

Hovyo sana sekta ya ajira.
 
Wakuu.

Hii nchi ngumu sana , tamu sana !

Yaani kazi yoyote ile kuipata bila connection ni kazi sana. Yaani lazima mtu akudokeze , akusukume , akuunganishe au fitina lazima ifanyike.

Unakuta kazi kabla haijatangazwa tayari wenye ndugu wanajua na wameshatambulishwa mahali! Kuita watu Interview toka Mikoani ni dhambi kubwa sana.

Unawaita watoto wa watu wanajichanga huko mikoani wanasafiri mpaka mjini kwa shida.

Wanaingia interview wakati kazi watu wamepewa. Kijana wa watu anarudi kijijini kwa taabu sana.

Tanzania kazi kabla hata haijachapishwa kwa gazeti , watu wameshasubmit vyeti.

Hovyo sana sekta ya ajira.
Anatakiwa na yeye awe na hiyo tahadhari akilini mwake siyo kufunga safari kichwa-kichwa labda kama Mungu kamuhakikishia kwa maono.Hapo sawa.
 
Tunatofautiana mkuu unakaa kwa mjomba au umesomeshwa na ndugu, unaaply kazi uanitwa interview!!!! Usipoenda unadhani watakufikiria je??? Some times unabahatisha bahati yako
Nenda baada ya kupata taarifa za kina kuhusu hiyo interview.I'm talking from my own experience.
 
Ushauri! Ukiona tangazo la kazi wametangaza 1position, usijisumbue kuomba. Omba kazi amabazo angalau kuna 2positions na kuendelea. Ili angalau wakiwaweka ndugu zao zingine zitakazo baki ndio wataambulia wale wasio na connection.
Mind you, mimi mpaka sasa nimeshapata kazi zaidi ya nane kwenye mashirika tofauti tofauti ila hii ya mwisho ndio nilishikwa mkono kwa mara ya kwanza. Nilijisikia vibaya sana kubebwa kwa kuwa sio hulka yangu lakini sasa kutokana na njaa ningefanyaje?
 
Haki huwa haiozi.... Itachelewa ila itapatikana
kweli maneno yako rafiki, niliwahi kudhulumiwa kazi taasisi moja ya serikali wakaondosha jina langu wakamuweka mtu mwengine ila wakasahau sehemu moja yakasomeka majina mawili langu na kijana wa kigogo, wakajichanganya wakanipigia simu kuniuliza ishu za kazi wakati hata sipo kazini, nikawaambia mmechanganya majina wakasema wewe si fulani? nikawajibu ndio k, wakauliza tena si ndio uliajiriwa kwenye kada fulani taasisi fulani nikawajibu hapana wakashangaa ila wakajaribu kujiongeza kwamba wamekosea
 
Wakuu.

Hii nchi ngumu sana , tamu sana !

Yaani kazi yoyote ile kuipata bila connection ni kazi sana. Yaani lazima mtu akudokeze , akusukume , akuunganishe au fitina lazima ifanyike.

Unakuta kazi kabla haijatangazwa tayari wenye ndugu wanajua na wameshatambulishwa mahali! Kuita watu Interview toka Mikoani ni dhambi kubwa sana.

Unawaita watoto wa watu wanajichanga huko mikoani wanasafiri mpaka mjini kwa shida.

Wanaingia interview wakati kazi watu wamepewa. Kijana wa watu anarudi kijijini kwa taabu sana.

Tanzania kazi kabla hata haijachapishwa kwa gazeti , watu wameshasubmit vyeti.

Hovyo sana sekta ya ajira.
Njia pekee ya kuepukana na kadhia hyo ni kujiarir pekee, kwa sasa ajira imekuwa ngumu ukiendelea kukaa ukisubiria ajira utazeekea nyumbani
 
Haya mambo yalianza zamani. Miaka ya 1990 nilipata scholarship ya serikali (Wizara ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia ikiongozwa na Ben Mkapa wakati huo). Ukitoa viongozi wa juu wa Wizara, wengine wengi wao walikuwa Wazanzibari. Kuna jamaa akiitwa Fitawi na mwingine Shaban. Wala rushwa wakubwa sana. Basi majina ya scholarship yalipotoka, jina langu lilikuwemo. Nikafurahi lakini pia nikawa nashangaa kuwepo bila kutoa rushwa. Ilikuwa ya kwenda kusoma udaktari Urusi. Wakati wa kuondoka, jina langu lilikwisha tolewa. Nilijaribu kwenda kumwona Mkurugenzi wa Elimu ya Juu lakini haikusaidia. Kila niliyemwona, alikuwa anawatetea akina Shabani na Fitawi. Nikagundua kuwa hii ni kesi ya tumbili... Nikaishia kusoma Tanzania. Lakini baadaye nilimshukuru Mungu sana kwa kusoma Tanzania. Tanzania ni miaka 5 tu nikawa nimemaliza. Waliokwenda Urusi walichukuwa miaka 7-8 kumaliza. Waliporudi, walinikuta mimi tayari ni chief wao. Kwa hiyo nami naweza kupigiwa simu siku moja ili nihesabiwe kama niliyesoma Urusi. Mpaka leo ninayo barua ya Wizara ya kwenda kusoma Urusi.
kweli maneno yako rafiki, niliwahi kudhulumiwa kazi taasisi moja ya serikali wakaondosha jina langu wakamuweka mtu mwengine ila wakasahau sehemu moja yakasomeka majina mawili langu na kijana wa kigogo, wakajichanganya wakanipigia simu kuniuliza ishu za kazi wakati hata sipo kazini, nikawaambia mmechanganya majina wakasema wewe si fulani? nikawajibu ndio k, wakauliza tena si ndio uliajiriwa kwenye kada fulani taasisi fulani nikawajibu hapana wakashangaa ila wakajaribu kujiongeza kwamba wamekosea
 
Wakuu.

Hii nchi ngumu sana , tamu sana !

Yaani kazi yoyote ile kuipata bila connection ni kazi sana. Yaani lazima mtu akudokeze , akusukume , akuunganishe au fitina lazima ifanyike.

Unakuta kazi kabla haijatangazwa tayari wenye ndugu wanajua na wameshatambulishwa mahali! Kuita watu Interview toka Mikoani ni dhambi kubwa sana.

Unawaita watoto wa watu wanajichanga huko mikoani wanasafiri mpaka mjini kwa shida.

Wanaingia interview wakati kazi watu wamepewa. Kijana wa watu anarudi kijijini kwa taabu sana.

Tanzania kazi kabla hata haijachapishwa kwa gazeti , watu wameshasubmit vyeti.

Hovyo sana sekta ya ajira.
ni serikalini tu huo UPUUUZI, private hakuna mambo ni uwezo wako tu
 
kweli maneno yako rafiki, niliwahi kudhulumiwa kazi taasisi moja ya serikali wakaondosha jina langu wakamuweka mtu mwengine ila wakasahau sehemu moja yakasomeka majina mawili langu na kijana wa kigogo, wakajichanganya wakanipigia simu kuniuliza ishu za kazi wakati hata sipo kazini, nikawaambia mmechanganya majina wakasema wewe si fulani? nikawajibu ndio k, wakauliza tena si ndio uliajiriwa kwenye kada fulani taasisi fulani nikawajibu hapana wakashangaa ila wakajaribu kujiongeza kwamba wamekosea
hapo ni kwamba documents zako zinat 🤣 umika na mtu mwingine wakasahau cv kuedit number,,usijali sana nafikiri alikutana na FAGIO LA CHUMA LA MAGUFULI
 
Back
Top Bottom