Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wakuu.
Hii nchi ngumu sana , tamu sana !
Yaani kazi yoyote ile kuipata bila connection ni kazi sana. Yaani lazima mtu akudokeze , akusukume , akuunganishe au fitina lazima ifanyike.
Unakuta kazi kabla haijatangazwa tayari wenye ndugu wanajua na wameshatambulishwa mahali! Kuita watu Interview toka Mikoani ni dhambi kubwa sana.
Unawaita watoto wa watu wanajichanga huko mikoani wanasafiri mpaka mjini kwa shida.
Wanaingia interview wakati kazi watu wamepewa. Kijana wa watu anarudi kijijini kwa taabu sana.
Tanzania kazi kabla hata haijachapishwa kwa gazeti , watu wameshasubmit vyeti.
Hovyo sana sekta ya ajira.
Hii nchi ngumu sana , tamu sana !
Yaani kazi yoyote ile kuipata bila connection ni kazi sana. Yaani lazima mtu akudokeze , akusukume , akuunganishe au fitina lazima ifanyike.
Unakuta kazi kabla haijatangazwa tayari wenye ndugu wanajua na wameshatambulishwa mahali! Kuita watu Interview toka Mikoani ni dhambi kubwa sana.
Unawaita watoto wa watu wanajichanga huko mikoani wanasafiri mpaka mjini kwa shida.
Wanaingia interview wakati kazi watu wamepewa. Kijana wa watu anarudi kijijini kwa taabu sana.
Tanzania kazi kabla hata haijachapishwa kwa gazeti , watu wameshasubmit vyeti.
Hovyo sana sekta ya ajira.