Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Umeme bado haujawa that much stable lakini ni 1000 times better. Kama huoni pengine umri unakubana maana mpaka watoto wa primary wana iPads.Sijui unaongea Nini au unataka kumfurahisha Nani. Umeme hata muda huu umekatika wewe unasema historia?
Kukupa picha tu, ulikuwa unapiga pasi ngui za wiki nzima ili angalau umeme ukipotea uendelee na kazi. Kifupi Hali ilikuwa mbaya