Kitu kikubwa kitachoweza kufanya uwe na pesa za uwakika ni kuwa na uwezajikaji wa kudumu sio kujifungia ndani na mkeo ndani Kila siku mnakula mchicha na bamia kuhusu nguvu za kiume wanaume wengi walio oa ndio wanaongoza kutumia mi boster ya nguvu za kiume
mabinti wengi wa miaka ya 90s na 2000s wengi wenu hamfai hamfai kabisa kuwa wake za watu mnaongoza kuposti ma video ya uchi mitandaoni,sio wavumilivu,hampendi kufanya kazi,mnapenda kupewa pewa ovyo mnatamaa,manadharau vijana wanao Fanya kazi ndogondogo kiufupi KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.