Recent content by g vizy

  1. g vizy

    Naona kama Kombe La Dunia la mwaka huu halina 'mzuka'. Ni mimi peke yangu?

    Iran Iran imekua maarufu imetufanya mpaka bei ya unga imepanda
  2. g vizy

    Imarisha ulinzi wa mali zako nyumbani na ofisini kwa kufunga CCTV CAMERA leo.

    Kwa hiyo uwingi wa camera ndo ukubwa wa hard drive au inakua sio lazima kwa uzoefu wako kiongozi
  3. g vizy

    Why me simpati mwanaume kama huyu i am tired kabisa

    AI UNAIWEKEA SOFTWARE UNAYOTAKA WEWE NA INAKUA HIVYO HIVYO KULINGANA NA MATAMANIO YAKO ILA KWA BINADAMU HUYO WA HIVYO HAYUPO
  4. g vizy

    Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

    Hizi router kama hii inatumia chaji au unaconnect direct kwenye umeme
  5. g vizy

    Msaada juu ya Swahili Voice Over AI

    Mnapngelea kitu gani wakuu
  6. g vizy

    Onyo : Aina 9 Ya Simu Ambazo Sikushauri Kununua

    Sony experia yangu imevilia kioo naweza rekebisha kioo ndugu muuzaji nikucheki
  7. g vizy

    Uliza swali lolote kuhusiana na kitu chochote na JF member mwenye ufahamu atakupa jibu sahihi

    1. Mzunguko wa Nguruwe wa Kike (Estrous Cycle) Siku 21 kwa wastani (tofauti na siku 28 za mwanadamu). Hauhusishi kutokwa na damu kama hedhi ya binadamu. Badala yake, nguruwe jike hutoa ute wa kuvutia dume wakati wa "estrus" (siku 2–3 za kuvumilia ngono). Dalili za estrus: - Mwenendo wa...
  8. g vizy

    Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

    Ndiyo, Maryamu (Maria) aliyejitokeza katika Qurani kama mama wa Nabii Issa (Yesu) ni sawa na Maria mama wa Yesu Kristo aliyejitokeza katika Biblia. Hata hivyo, kuna tofauti fulani katika jinsi wanavyoelezewa na kuzingatiwa kati ya Uislamu na Ukristo. Hapa kwa undani zaidi: --- ### Maryamu...
  9. g vizy

    Wanaume wanaofakamia fasheni za kike ni dalili za ushoga?

    Hamna unachofanya hapo sasa unakemea wewe akiwa uko mtaani anakutana navyo kwenye TV na n.k
  10. g vizy

    Tambara: The gorge (2025)

    Sasa ilikuaje mwishoni mbona yule dada na jamaa aliyekua kwenye ile gorge nyingine walikuja wakaiteketeza yote Mpaka yule dada kuhisi kua jamaa amekufa kutokana na ule mlipuko ila baadae wakakutana
Back
Top Bottom