Recent content by G-traveller

  1. G

    Mgogoro Cameroon: Rais Paul Biya aamuru kuachiliwa huru kwa watuhumiwa 333

    Leo nimeoma video hawa waasi yani hawa franco english walimkamata askari wa kike walampaka wakamtesa wakamvua wakamfunga minyororo wakamburuta kisha wakamchinja kama kuku na kumtoa kichwa. Imenisikitisha sana yule askari alikuwa bado mdogo wanamburuta uchi katanua miguu maskini ila binadamu sisi...
  2. G

    Walinzi binafsi kwa Kondeboy na Diamond ni Business branding.

    Justin beiber alitumia kiasi cha tshs 200,000,000 kupiga rangi rambourgin yake ifanane na nguo atakayofaa siku ya tukio flani...
  3. G

    Trump:US not involved in Iranian Satellite launch failure

    Ni kwasababu Trump amesema hivyo kama ana wa mock vile
  4. G

    Nanunua Gallstones

    Hakuna utapeli hata kidogo mkuu kwanza bei aliyotaja ni ndogo. Zinguka machinjo yote mpaka mikoani hupati hii kitu maana kila machinjio watu wamekwisha weka order yani ni kama gemstone. Soko lake ni china wanayatumia kwenye dawa yani yananunuliwa dunia nzima supplier mkubwa ni mexico lakini...
  5. G

    Trump:US not involved in Iranian Satellite launch failure

    Kufail kawaida mbona shuttles kadhaa za USA zilisha lipuka na kuua watu mara zaidi ya moja
  6. G

    Msaada.Namna ya kupata apple verification code

    Hata uitestore still haitosaidia la msingi mtafute akupe verification code ingia kwenye icloud ubadirishe namba inayotakiwa kupokea verification code uweke yako basi.
  7. G

    iPhone za Makumbusho zina nini?

    Kwanza kabisa usinunue iphone 5 wala 5c maana apple ashaacha kuzipa support pia iphone5s ina support ila nayo huenda ataacha hivi karibuni maana apple anatabia ya kusupport simu kwa miaka 5 toka ameitoa. Hivyo chini ya iohone 5s hazipokea updates na apps nyingi kwa iohone 5 kurudi nyuma...
  8. G

    Mzee wa East Africa got Pregnant diamond.

    What I like about him, he is a self made king. From nothing to everything
  9. G

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Hata hivyo india wana simu nyingi mid range phones so kama manufacturers wa china wakipgwa ban wote kutumia android utaona ka simu za mchina zitauzwa
  10. G

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Assume hizo simu unazosema zina camera kali zikose whatsapp instagram youtube facebook and snapchat. Zitanunulika hata kama zouzwe laki na nusu? Nijibu lakini ziwe na wechat na apps za wachina
  11. G

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Mfano Vorgestellte Kategorien na AktionenAktionenfrom germany Vivo, iball from India
  12. G

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Na bei yake ilikuaje sokoni? Ni affordable eh? Jibu ni kuwa ni ghali sana. Watu wanapenda hizo camera wapige picha wapost fb na insta na snapchat. Simu bila hizo social media za kimarekani kwa watu ni kopo. Kama whatsapp fb snapchat google wakizuiwa kuisupport hiyo os basi huawei atafail
  13. G

    Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

    Tecno kateka soko la afrika kwasababu ni cheap na anatumia huduma ya android yenye apps pendwa za kimarekani. Aondoe hizo apps abaki kuwa cheap uone kama kuna atakaye nunua. Mbadara wa hizi tecno wapo wahindi wana simu cheap sana za android zinaweza kuteka soko iwapo watapigwa ban kutumia apps...
Back
Top Bottom