Nakumbuka pepa ya banking law chuoni, kwavile lilipangwa kuwa la mwisho kati ya mitihani yooote ss watu janayake c wakakesha club ili wakija wapige waue maana likizo time inafuata. Kama kawaida keshoyake saa 2asbh prof. kaingia exam room na kuanza kugawa pepa bas jamaa mmoja baada tu ya kugawiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.