Recent content by G-GRAFIX

  1. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Baraka Da Prince kuwa matatani

    Kila apandalo mtu, ndilo huvuna.
  2. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Kusema kweli dunia ya sasa hivi mtu ukitaka kuoa, inakupasa ujitoe sana akili. Yaani uwe zuzu!

    Limtokalo MTU ndilo liujazao moyo wake, hiyo ikionyesha wazi kabisa wewe umekidhi vigezo na masharti yote kikamili kwa kuitwa "KICHECHE" pia "KAHABA MKUBWA"
  3. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Mitego mahiri ya kunasa warembo

    Kicheko bandia. Mtazameni kwanza semi zake
  4. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Mitego mahiri ya kunasa warembo

    Utamaduni ngono bhana!!!!!!!!!! Nawaambia huyu naye hajajua kama na yeye kashachinjwa kwa STD kwa hiyo hili ni swala lenye kuhitaji watu wenye ufahamu na ujuzi ili apate kushaurika. Pole sana kaka. "NGOMA IKIVUMA SANA ........... KUPASUKA." WAJUZI TUNAKUPA POLE. ukiulizwa swali la ufahamu...
  5. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni ya 3 kwa stress duniani

    Nyie ndiyo 43% iliyobakia
  6. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Angalia umri wako, upo sahihi, Umekosea, Unahitaji kujirekebisha?!!!

    Life beginning at 40 my men
  7. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Sector nyeti na mbovu na yenye dharau na wingi wa rushwa ni Tanesco. Pia kwanini Muheshimiwa asiifanyie hii sector ziara za kushtukizia kwanzia aingie mjengoni?
  8. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Hiyo mimi sasaaaaa
  9. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Tafiti zimeonyesha kuwa,mdomo wa binadamu ki bacteriologia (bacteriologically) ni mchafu maradufu kuliko sehemu ya uke(vagina). Ni vema kufahamu kuwa, katika hali ya afya,binadamu wote tunaishi navimelea(microorganisms) katika sehemu nmbalimbali za miili yetu, wakiwa na lengo la kutulinda...
  10. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Laana na mikosi inayotokana na zinaa, hii kitu ina uhalisia?

    Hujui namna ya kujieleza maana uzinzi au uasherati tayari ni mkosi achalia mbali laana. Sasa nyoosha maelezo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Eneo la heka 3.77 linauzwa Dodoma

    Dodoma hiyo ipo mbinguni au ni huko jangwani? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua haswa ni nini maana ya "MCHARUKO"

    Tafadhalini tujifunze kutumia lugha nyepesi zisizokuwa na matusi pia ruksa kutumia mfano wa mtu yeyote au picha kwa ajili ya ufafanizi. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. G-GRAFIX

    JamiiForums Tanzania Katoliki waumini wako zaidi ya 1000 spika kiduchu, lakini haya makanisa ya waumini wanne wana sipika za disco kwa faida ya nani?

    Kutokujua au kutokuelewa kubaya. Hebu tupe andiko ambalo linamtetea huyo kwa kujiektisha ananena kwa lugha. Ni uongo mtyupu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom