We jamaa ukikosa la kuongea uwe unatulia sio kuropoka!! Aliekuambia wanaobet wanaliwa sana ni nan??dunia nzma watu wanabet it means inafaiada kwao wangekuwa hawapati faida wangeacha!! Binafsi sitaacha kubeti mpaka waache wao!! Kila wiki napata faida ya laki moja!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.