Na
Ukakiri kabisa wewe ni miongoni mwa wale wenye I'd nyingi katika uwanja huu wa JF. Ila nashukuru ulichokifanya kimenifanya nikutambue. That was a call of identification😆😆
Is this language similar to English or? Dogo kama hujui lugha tulia na jifunze toka kwa wakubwa wako. Sasa ndio umeandika nini hapo? We Lamomy njoo umsaidie rafikiyo huku🤣🤣🤣
Wewe ndio umeandika hivyo na wala si mimi ? Uzuri wake umenitag, sasa mimi na wewe nani yupo sahihi?😆
Usikimbilie mtumbwi wa vibwengo kama hujui unenalo..
Yaani wewe ulikuwa unawaza pesa tu na si intimacy between you guys. Kama ulichukulia hivyo naimani sasa upo kwenye makasiriko makubwa kama si kuvurugana na kuachana kabisa...
Dogo umekoment tu ili kukomenti au una mantiki katika kile ulichokisema? Which part am I grammatically wrong from what I said earlier? Alafu nawe Lamomy umelike kabisa upuuzi aliosema huyo Changchun as unamsapoti kutokana na nilichokisema. Haya nionesheni makosa yangu kwenye ile sentensi, Am...
Kumbe uliliona hili mkuu, wao wanaangalia tu alichofanya Chama. Kuna mzuka wa uwanjani kwa muda husika na kitendo kinachoendelea na ulichofanyiwa before, ushabiki wa pembeni kusema asingefanya hiki au angefanya hiki bila kujua the move iliyokuwepo ni uropokaji tu.
Wakati unamtongoza, mnaanza kulana mpaka kwenye kitanda alichonunua mwanaume mwenzio tena nyumbani kwake, ulivyokuwa ukimpelekea vizawadi huyo mwanae mdogo mpaka akakupenda na unakiri kabisa ni kacheshi ulitegemea nini? Uliyoyatengeneza yametoa majibu sasa na unapaswa kukabiliana na hayo majibu...
Acha kumlisha mtoto mzuri mibloila hiyo😆
Alafu unategemea kushinda KFC kila siku ndio uwe na performance nzuri in bed? Utamfurahisha kwa maswala ya outings lakini kimshedede atakuwa anafurahishwa na mwengine😆😆
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.