Sasa mkuu mvua zilizopitiliza matokeo yake ni kuharibika kwa mazao. Utatakaje kuvitenganisha hivi vitu viwili? Embu jaribu kulima zao lolote alafu mvua izidi ndio utajua unachokitarajia hakiwezekani. The more it rains the faster crops residues in the farms. Lijue hilo
Wachawi, hao wanawezana na wasukuma wenzao wa bariadi na Shinyanga. Ila kwenye kazi wako vizuri (Sio wavivu) na usione mashamba yana nawiri na mavuno makubwa hahaha.....kuna watu wanabebwa usiku na kwenda kufanya kazi mume akiwa amelala fofofooo
Na wao ndio hawataki maana wanajua watawajibishwa kwa vifungu vya katiba mpya. Hik inamaana kuwa hawaitakii mema Tanganyika yao kwa vizazi vijavyo, wanaona bora wao wafariki wakiwa kwenye haya wanayofaidika nao na wawaachie shida vizazi vya mbele.
Haina shida, iwe ni meli ya nchi za nje iliyotumia bendera yetu sawa tu maana hapo nyuma yalishajitokeza meli za nchi nyingine kutumia bendera yetu bila vyombo vyetu husika kuwa na taarifa zikakamatwa huko maji marefu na mataifa yanayojelewa. Hata ikiwa ni ya wafanyabiashara wetu wanaokula...
Mimi mwenyewe niliposoma coment yake nikaishia hapo hapo. Nikaona haina haja ya kuendelea kusoma mawazo yake. Tuna wajinga sana humu ndani, hajui kuwa alichokifanya Samia ile siku ni kosa kubwa sana kidiplomasia na ego ya kujiona ikitupotezea uwekezaji mkubwa kama ule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.