Kijiji cha wanajeshi kile. Labda ulienda kutembea tu na kuondoka, makamanda tunapaona town pale bata kwa mbele tu pale Ngerengere au Kizuka au town kabisa Ubena Zomozi
Ili heshima, utii na uadirifu uwepo ndani ya nyumba na vile nitakavyovianzisha ili avisimamie inanibidi nioe wa aina uliyosema asizidi 25 akizidi sana 27 au vipi mtibeli?🤗
Ukisoma KUTOKA 20:3 na kuendelea Biblia inasema "Usiwe na miungu mingine ila mimi. Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni, au duniani chini, au ndani ya maji. Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, BWANA Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu...
Sasa wewe ndio utafanywa kibudu siku ikikutokea huna pesa. Bora bar moja ili ikitokea hela imeisha wanajua hata kesho utaleta. Kimedani zaidi mgeni akiingia tu unaanza kumnusa na kumfuatilia na kujihami, isije ikawa walewale
Hili linaniumiza sana sana. Bila hatua mwenyekiti wa Chadema atapotelea kule kule halafu hakuna wakujibu. Kila atayeulizwa atafumba mdomo na kugugumia kwa ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.