Recent content by fyddell

  1. fyddell

    Haya magari ya hivi karibuni yenye namba A yanamilikiwa na akina nani?

    Bora wewe kidogo umegusa kilichopo
  2. fyddell

    Haya magari ya hivi karibuni yenye namba A yanamilikiwa na akina nani?

    Acheni kilakitu kuwasingizia UT, mnaweza mkawa mnashindwa kufichua uhalifu kisa neno Usalama wa Taifa limewajaa vichwani na mdomoni.
  3. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Haya poa, uwe na muda mwema.
  4. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Na Ukakiri kabisa wewe ni miongoni mwa wale wenye I'd nyingi katika uwanja huu wa JF. Ila nashukuru ulichokifanya kimenifanya nikutambue. That was a call of identification😆😆
  5. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Kwanini unatumia multiple I'd rafiki yangu?
  6. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Fidel?😳 Hilo jina la nani? Seems like ulikuwa unanichokonoa kuanzia mwanzo si ndivyo?
  7. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Is this language similar to English or? Dogo kama hujui lugha tulia na jifunze toka kwa wakubwa wako. Sasa ndio umeandika nini hapo? We Lamomy njoo umsaidie rafikiyo huku🤣🤣🤣
  8. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Wewe ndio umeandika hivyo na wala si mimi ? Uzuri wake umenitag, sasa mimi na wewe nani yupo sahihi?😆 Usikimbilie mtumbwi wa vibwengo kama hujui unenalo..
  9. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Yaani wewe ulikuwa unawaza pesa tu na si intimacy between you guys. Kama ulichukulia hivyo naimani sasa upo kwenye makasiriko makubwa kama si kuvurugana na kuachana kabisa...
  10. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Dogo umekoment tu ili kukomenti au una mantiki katika kile ulichokisema? Which part am I grammatically wrong from what I said earlier? Alafu nawe Lamomy umelike kabisa upuuzi aliosema huyo Changchun as unamsapoti kutokana na nilichokisema. Haya nionesheni makosa yangu kwenye ile sentensi, Am...
  11. fyddell

    Naandika tena kuhusu Clotous Chota Chama "Triple C" Mwamba wa Lusaka

    Kumbe uliliona hili mkuu, wao wanaangalia tu alichofanya Chama. Kuna mzuka wa uwanjani kwa muda husika na kitendo kinachoendelea na ulichofanyiwa before, ushabiki wa pembeni kusema asingefanya hiki au angefanya hiki bila kujua the move iliyokuwepo ni uropokaji tu.
  12. fyddell

    Mambo matano yatakayokusaidia kuijua tabia iliyojificha ya mke/mpenzi wako

    A very big point. Kupima upendo wa kweli ni pale mnapokuwa kwenye mpishano wa kimawazo na hali iwazungukayo kiujumla.
  13. fyddell

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Wakati unamtongoza, mnaanza kulana mpaka kwenye kitanda alichonunua mwanaume mwenzio tena nyumbani kwake, ulivyokuwa ukimpelekea vizawadi huyo mwanae mdogo mpaka akakupenda na unakiri kabisa ni kacheshi ulitegemea nini? Uliyoyatengeneza yametoa majibu sasa na unapaswa kukabiliana na hayo majibu...
  14. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Acha kumlisha mtoto mzuri mibloila hiyo😆 Alafu unategemea kushinda KFC kila siku ndio uwe na performance nzuri in bed? Utamfurahisha kwa maswala ya outings lakini kimshedede atakuwa anafurahishwa na mwengine😆😆
  15. fyddell

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Dah ikifika hatua hiyo ni bora kuwekana wazi tu kama wenzetu wa magaribi. Habari za kutangulizana si nzuri kabisa🤔
Back
Top Bottom