Recent content by fyddell

  1. fyddell

    JamiiForums Tanzania Car4Sale 2017 Harrier anaconda yenye rangi adimu sana iko sokoni

    Mh kweli unyama
  2. fyddell

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa na bosi mwanamama

    Hahaha kwahiyo ukali wote wa boss ukaishia kwenye kicheko cha chinichini jinsi ulivyokuwa ukimbinjua😂
  3. fyddell

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maduhu: Nategemea Msajili ataiandikia Barua CCM ya kuifuta au kuionya kwa kauli za Chatanda

    Wao na watoto wao, ni swala la muda tu.
  4. fyddell

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maduhu: Nategemea Msajili ataiandikia Barua CCM ya kuifuta au kuionya kwa kauli za Chatanda

    Nini kifanyike ili awe kwa maslahi ya taifa(wananchi)?
  5. fyddell

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Alafu bado kipindi cha uchaguzi wanaichagua CCM. Umasikini wa watanzania na elimu mbovu ndio mtaji wa CCM. My poor Tanzania
  6. fyddell

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Kijiji cha wanajeshi kile. Labda ulienda kutembea tu na kuondoka, makamanda tunapaona town pale bata kwa mbele tu pale Ngerengere au Kizuka au town kabisa Ubena Zomozi
  7. fyddell

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nilishakuwa muhudhuriaji mzuri sana hili jukwaa miaka ya nyuma ila nikasimama kidogo. From now We are together, Arsenal the gunners
  8. fyddell

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    We're Arsenal forever.......🥰
  9. fyddell

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Ili heshima, utii na uadirifu uwepo ndani ya nyumba na vile nitakavyovianzisha ili avisimamie inanibidi nioe wa aina uliyosema asizidi 25 akizidi sana 27 au vipi mtibeli?🤗
  10. fyddell

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Ndivyo Mungu anavyosema kwa hekima yake maana inapoishia akili ya mwanadamu ndipo yeye huanza.
  11. fyddell

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Wewe unadhani huyo jamaa aliyefariki alienda Bar akiwa hana kitu kabisa mfukoni? Utaanzaje kunywa bila kuwa na chochote mfukoni, labda iwe Bar yako🤣
  12. fyddell

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Ukisoma KUTOKA 20:3 na kuendelea Biblia inasema "Usiwe na miungu mingine ila mimi. Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni, au duniani chini, au ndani ya maji. Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, BWANA Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu...
  13. fyddell

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Sasa wewe ndio utafanywa kibudu siku ikikutokea huna pesa. Bora bar moja ili ikitokea hela imeisha wanajua hata kesho utaleta. Kimedani zaidi mgeni akiingia tu unaanza kumnusa na kumfuatilia na kujihami, isije ikawa walewale
  14. fyddell

    JamiiForums Tanzania Jaji mkuu : Maneno matupu kwanini kesi ya Lissu inachelewa

    Hili linaniumiza sana sana. Bila hatua mwenyekiti wa Chadema atapotelea kule kule halafu hakuna wakujibu. Kila atayeulizwa atafumba mdomo na kugugumia kwa ndani
Back
Top Bottom