Recent content by fyddell

  1. fyddell

    Chato: Mfanyabiashara maarufu Suleiman Rwaikondo amenusurika kifo baada ya kushushiwa kipigo na wananchi huko Muleba

    Hakika ni mjinga wa mwisho. Kwanini asichukue hatua stahiki za kiwaita askari polisi na kuzuia uuzaji wa hizo ng'ombe na kuwatafuta waliozileta hapo? Tatizo la wahaya linajulikana lakini🤣🤣
  2. fyddell

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Kifo ni kifo ni msemo na uasisi wa mwenyekiti wa CCM alipofariki mzee Kibao kwa kutekwa mchana kweupe na watu wasiojulikana waliojitambulisha kama polisi wakiwa na siraha na kumshusha kwenye bus maeneo ya Tegeta. Maiti yake ilikuja kuonekana baada ya kutupwa huku uso ukiwa umemwagiwa tindikali...
  3. fyddell

    Jipatie a 800ml french press pamoja na kahawa bure kwa 89,000Tsh tu.

    Wakati nasoma heading ya thread yake sikujja anaongelea nini na mpaka baada ya kuona pic iliyoambatanishwa na thread yake ndio nikajua ni nini anaongelea. Umemweleza ukweli kabisa, marketing strategies za kuwaelewesha na kuwapata wateja wapya ni muhimu kuliko kukeep cycle ile ile yenye uwelewa...
  4. fyddell

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Amia Mbalizi Ifisi kwa watoto washamba washamba wanaotoka Rukwa kuja kusoma chuo cha afya pale kama unataka wa peke yako.😀
  5. fyddell

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Hivi hili ni la kulisemea mkoa wa Mbeya tu?! Bhasi ndugu yangu hujazunguka mikoa mingi hii Tanzania especially miji mikubwa. Alafu kingine being a friend suggested in Facebook ni muunganiko wa kuwa sehemu moja (Location), kuwa na number ya simu ya muhusika au inategemea na mutual friends walioko...
  6. fyddell

    Kama Mwanaume, omba Mungu sana usijejikuta kwenye Hali kama hii. Ni aibu isiyoelezeka

    Jibu unalo ila unajisahaulisha tu. The difference of mileage unaijua vizuri tu
  7. fyddell

    Kama Mwanaume, omba Mungu sana usijejikuta kwenye Hali kama hii. Ni aibu isiyoelezeka

    Kwakweli inahuzunisha sana, ma uncles sio wa kukaribisha nyumbani kwa aina hii ya globalization. Bora unekane unajitengwa kiaina flani lakini unaepuka mambo mabaya toka kwa ndugu
  8. fyddell

    Pakistan waliwezaje kutengeneza na kumiliki silaha za nuclear bila kuingiliwa na Marekani?

    Kuna kitu kinaitwa SPHERE OF INFLUENCE na kama hujasoma HISTORY 2 A LEVEL hata vitabu vinavyohusu HISTORY OF THE WORLD'S CONFLICT AND ITS IMPACTS ni ngumu kujua kinachotokea sasa.
  9. fyddell

    Makonda akiongea Kingereza cha kubangaiza

    I conquer it with you mkuu.
  10. fyddell

    Makonda akiongea Kingereza cha kubangaiza

    Haha from the same video kuna jinga moja huku linaitwa Mwashambwa linamsifia Makonda eti kaongea kiingereza ambacho kimewaacha watanzania kwenye furaha kubwa kwa jinsi kilivyonyooka🤣🤣
  11. fyddell

    Alcohol is brewed in hell

    Lessotherwise Ilala is part of hell watuambie sasa...😀
  12. fyddell

    Benjamin Netanyahu akitoa hotuba baada ya Ali Larijani kuuawa na jeshi la Israeli

    Netanyau kasema mipango bado ni mingi na hawezi kuifichua that means ngoma bado nzito hii. Na kwasababu Jamhuri ya kiislamu ya Iran wanafuata ideology ya kutosalimu amri tutaendelea kusikia viongozi wengi zaidi wa IRGC wakiuwawa.
  13. fyddell

    Kutoka rubani wa ndege nchini Marekani hadi muokota makopo nchini Kenya

    Nakubaliana nawe, huwezi kupokelewa moja kwa moja kabla shirika la ndege unaloomba ajira halijawa na imani nawe katika ndege zao. Kuna uwezekano alifeli kwenye course au kuna lolote lililompelekea akashindwa kuqualify
  14. fyddell

    Kutoka rubani wa ndege nchini Marekani hadi muokota makopo nchini Kenya

    The issue is hakuwa well informed kuhusiana na mambo ya aviation nchini Kenya. Aliamini kwa ujuzi alionao huko Marekani kungempa credibility ya kuingia kwenye ajira moja kwa moja. Huyo mke wake wa kwanza mzungu inavyoonekana alimwambia afanye tathmini vizuri kuhusu mazingira ya nyumbani kabla ya...
  15. fyddell

    Jirani yangu ana uwezo wa Ku-Hibernate na kukaa Wiki mbili bila kula chochote

    Tunaishi na viumbe tofauti katika hali ya kimwili wa kibinadamu. Wewe kama unakula mara tatu kwa siku, jua kuwa kuna watu wanakula mara moja kwa siku na wengine mara tano mpaka sita kwa siku moja.
Back
Top Bottom