Yes inategemea na umbali wa mfyatuko wa risasi na target. Kumbuka askari wanatumia AK 47 ambayo ina uwezo wa kusafirisha risasi kwa mita mita 715 kwa sekunde( 800m by approximation). Sasa ndani ya bank meaning ni zero range yaani target ipo karibu kabisa so impact yake lazima iwe kubwa kama si...
Unajua ukishajua position ya adui yako cha kwanza unachopaswa kujua "Ana siraha ya aina gani na anaweza akaitumia katika mazingira gani kukudhuru na kwa muda gani". Hapo nadhani jibu utakuwa ulishalipata, kilichofanyika hapo bank kwa hao polisi ni upumbavu wa kuindoa maisha ya mtu ambaye...
Alafu tunasema hawa watoto wa baba mdogo wamefundishwa njia za usalama na kulinda mali za raia kwa aina hii kweli?! Wanashindwa kumcontain mtu ambaye hana siraha ya aina yoyote zaidi ya maneno tu yanayomtoka mdomoni kwake kweli? This is a highest level of stupidity kwa hao polisi. Reformation...
Huyo atakuwa hana akili timamu ndio wizi gani wa bank huo? Pili hao askari wameshindwa kumthibiti bila kutumia nguvu ya ziada kama alikuwa hana siraha zaidi ya kuwalazimisha cashier wampe pesa tu?!
Kinachotegemea ni kama ajira itakupa muda wa kuendesha mambo yako pembeni kama biashara. Kwa watumishi walio vijijini ni rahisi sana kujishugurisha na mambo mengine tofauti na mijini ambapo afisa utumishi wako yupo next door from your chair.😊
Hongera kwa kuwa na mawazo positive ya kukuza kipato...
Unaomba ushauri wa aina gani kama jibu tayari unalo? Do what benefits you the most, ajira zipo tu, lakini kwenye kujiajiri unajipangia income yako mwenyewe kutokana na your level of investment.
Yaani wewe ndio pumbavu wa mwisho kabisa, hujui kuwa Lissu amewaweka mtegoni maana yeye ndiye atakeyukuwa akiwauliza maswali (Leading) kuthibitisha tuhuma juu yake?! Kama hujui nini maana ya cross examination and leading kwenye ulimwengu wa sheria bora unyamaze. Kiufupi Lissu atawavua nguo hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.