Recent content by fyddell

  1. fyddell

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Apigwa risasi baada ya kujaribu kupora bank.

    Yes inategemea na umbali wa mfyatuko wa risasi na target. Kumbuka askari wanatumia AK 47 ambayo ina uwezo wa kusafirisha risasi kwa mita mita 715 kwa sekunde( 800m by approximation). Sasa ndani ya bank meaning ni zero range yaani target ipo karibu kabisa so impact yake lazima iwe kubwa kama si...
  2. fyddell

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Apigwa risasi baada ya kujaribu kupora bank.

    Unajua ukishajua position ya adui yako cha kwanza unachopaswa kujua "Ana siraha ya aina gani na anaweza akaitumia katika mazingira gani kukudhuru na kwa muda gani". Hapo nadhani jibu utakuwa ulishalipata, kilichofanyika hapo bank kwa hao polisi ni upumbavu wa kuindoa maisha ya mtu ambaye...
  3. fyddell

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Apigwa risasi baada ya kujaribu kupora bank.

    Alafu tunasema hawa watoto wa baba mdogo wamefundishwa njia za usalama na kulinda mali za raia kwa aina hii kweli?! Wanashindwa kumcontain mtu ambaye hana siraha ya aina yoyote zaidi ya maneno tu yanayomtoka mdomoni kwake kweli? This is a highest level of stupidity kwa hao polisi. Reformation...
  4. fyddell

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Apigwa risasi baada ya kujaribu kupora bank.

    Huyo atakuwa hana akili timamu ndio wizi gani wa bank huo? Pili hao askari wameshindwa kumthibiti bila kutumia nguvu ya ziada kama alikuwa hana siraha zaidi ya kuwalazimisha cashier wampe pesa tu?!
  5. fyddell

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Wacha nicheke mie😀
  6. fyddell

    JamiiForums Tanzania Baada ya dilema ya muda mrefu sasa yametimia nilichokuwa nakiwaza kimetokea nini kinafuata sijui

    Sio mbaya kaka. Jitahidi sana
  7. fyddell

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huyu mwanajeshi amepata wapi hizi fedha za kuinunua Namanga Makangira?

    Wenye hela ni walio vikosi vya JKT.
  8. fyddell

    JamiiForums Tanzania Baada ya dilema ya muda mrefu sasa yametimia nilichokuwa nakiwaza kimetokea nini kinafuata sijui

    Kinachotegemea ni kama ajira itakupa muda wa kuendesha mambo yako pembeni kama biashara. Kwa watumishi walio vijijini ni rahisi sana kujishugurisha na mambo mengine tofauti na mijini ambapo afisa utumishi wako yupo next door from your chair.😊 Hongera kwa kuwa na mawazo positive ya kukuza kipato...
  9. fyddell

    JamiiForums Tanzania Baada ya dilema ya muda mrefu sasa yametimia nilichokuwa nakiwaza kimetokea nini kinafuata sijui

    Unaomba ushauri wa aina gani kama jibu tayari unalo? Do what benefits you the most, ajira zipo tu, lakini kwenye kujiajiri unajipangia income yako mwenyewe kutokana na your level of investment.
  10. fyddell

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Yaani wewe ndio pumbavu wa mwisho kabisa, hujui kuwa Lissu amewaweka mtegoni maana yeye ndiye atakeyukuwa akiwauliza maswali (Leading) kuthibitisha tuhuma juu yake?! Kama hujui nini maana ya cross examination and leading kwenye ulimwengu wa sheria bora unyamaze. Kiufupi Lissu atawavua nguo hao...
  11. fyddell

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Yuko wapi aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi?

    Sasa mtu mwenyewe anajiita akili ndogo alafu mnahangaika kumjibu his non sense. Hawa ndio wale wa kila wananchoambiwa "Ndio mzee"🤣🤣
  12. fyddell

    JamiiForums Tanzania Hii ni maajabu

    Bora hata ingekuwa kidato cha nne sema form nyoko🤣
  13. fyddell

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Kweli wewe tester mzee baba🤣
  14. fyddell

    JamiiForums Tanzania Hizo comment zenye taswila ya watanzania uko FB,IG,JF,X JE ni kweli ni WATU AU AI?

    Shirikisha halmashauri ya akili yako with relation to what's going on in the country mkuu. Au wewe hauishi Tanzania?
Back
Top Bottom