Hakika ni mjinga wa mwisho. Kwanini asichukue hatua stahiki za kiwaita askari polisi na kuzuia uuzaji wa hizo ng'ombe na kuwatafuta waliozileta hapo? Tatizo la wahaya linajulikana lakini🤣🤣
Kifo ni kifo ni msemo na uasisi wa mwenyekiti wa CCM alipofariki mzee Kibao kwa kutekwa mchana kweupe na watu wasiojulikana waliojitambulisha kama polisi wakiwa na siraha na kumshusha kwenye bus maeneo ya Tegeta. Maiti yake ilikuja kuonekana baada ya kutupwa huku uso ukiwa umemwagiwa tindikali...
Wakati nasoma heading ya thread yake sikujja anaongelea nini na mpaka baada ya kuona pic iliyoambatanishwa na thread yake ndio nikajua ni nini anaongelea. Umemweleza ukweli kabisa, marketing strategies za kuwaelewesha na kuwapata wateja wapya ni muhimu kuliko kukeep cycle ile ile yenye uwelewa...
Hivi hili ni la kulisemea mkoa wa Mbeya tu?! Bhasi ndugu yangu hujazunguka mikoa mingi hii Tanzania especially miji mikubwa. Alafu kingine being a friend suggested in Facebook ni muunganiko wa kuwa sehemu moja (Location), kuwa na number ya simu ya muhusika au inategemea na mutual friends walioko...
Kwakweli inahuzunisha sana, ma uncles sio wa kukaribisha nyumbani kwa aina hii ya globalization. Bora unekane unajitengwa kiaina flani lakini unaepuka mambo mabaya toka kwa ndugu
Kuna kitu kinaitwa SPHERE OF INFLUENCE na kama hujasoma HISTORY 2 A LEVEL hata vitabu vinavyohusu HISTORY OF THE WORLD'S CONFLICT AND ITS IMPACTS ni ngumu kujua kinachotokea sasa.
Haha from the same video kuna jinga moja huku linaitwa Mwashambwa linamsifia Makonda eti kaongea kiingereza ambacho kimewaacha watanzania kwenye furaha kubwa kwa jinsi kilivyonyooka🤣🤣
Netanyau kasema mipango bado ni mingi na hawezi kuifichua that means ngoma bado nzito hii. Na kwasababu Jamhuri ya kiislamu ya Iran wanafuata ideology ya kutosalimu amri tutaendelea kusikia viongozi wengi zaidi wa IRGC wakiuwawa.
Nakubaliana nawe, huwezi kupokelewa moja kwa moja kabla shirika la ndege unaloomba ajira halijawa na imani nawe katika ndege zao. Kuna uwezekano alifeli kwenye course au kuna lolote lililompelekea akashindwa kuqualify
The issue is hakuwa well informed kuhusiana na mambo ya aviation nchini Kenya. Aliamini kwa ujuzi alionao huko Marekani kungempa credibility ya kuingia kwenye ajira moja kwa moja. Huyo mke wake wa kwanza mzungu inavyoonekana alimwambia afanye tathmini vizuri kuhusu mazingira ya nyumbani kabla ya...
Tunaishi na viumbe tofauti katika hali ya kimwili wa kibinadamu. Wewe kama unakula mara tatu kwa siku, jua kuwa kuna watu wanakula mara moja kwa siku na wengine mara tano mpaka sita kwa siku moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.