Recent content by fyddell

  1. fyddell

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Isyonje, Igoma na Irambo usiguse mamii. Irambo ndio chimbuko langu kule
  2. fyddell

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Haha sasa hivi barafu inadondoka kule. Kiufupi makete, tukuyu (Mwakaleli, matamba) na Kitulo Mbeya vijijini huwezi kuzitenganisha kwa baridi.
  3. fyddell

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Yaani mkuu umenisema mimi kila kitu. Usikute vijana wote wa umri huo maisha yetu yanafanana 🤔
  4. fyddell

    JamiiForums Tanzania Super El nino 2026/2027.. El nino ya kihistoria

    Sasa mkuu mvua zilizopitiliza matokeo yake ni kuharibika kwa mazao. Utatakaje kuvitenganisha hivi vitu viwili? Embu jaribu kulima zao lolote alafu mvua izidi ndio utajua unachokitarajia hakiwezekani. The more it rains the faster crops residues in the farms. Lijue hilo
  5. fyddell

    JamiiForums Tanzania Polisi waruhusu Mikutano ya hadhara.. Je, wamemgeuka Katambi?

    Nchi iliyokosa mifumo imara ya uongozi ( Transparency and responsibilities) ndio inakuwa na mambo haya
  6. fyddell

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu

    Wachawi, hao wanawezana na wasukuma wenzao wa bariadi na Shinyanga. Ila kwenye kazi wako vizuri (Sio wavivu) na usione mashamba yana nawiri na mavuno makubwa hahaha.....kuna watu wanabebwa usiku na kwenda kufanya kazi mume akiwa amelala fofofooo
  7. fyddell

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu inayoanika uozo na uholela ndani ya serikali!

    Na wao ndio hawataki maana wanajua watawajibishwa kwa vifungu vya katiba mpya. Hik inamaana kuwa hawaitakii mema Tanganyika yao kwa vizazi vijavyo, wanaona bora wao wafariki wakiwa kwenye haya wanayofaidika nao na wawaachie shida vizazi vya mbele.
  8. fyddell

    JamiiForums Tanzania Iran muda mwingine ukimfikiria kama kichekesho. USA ndio anakupiga wazi wazi we unaenda kuwatisha majirani zako

    Je unaiongeleaje kauli ya rais wa Urusi aliposema siku tatu atakuwa ameitawala Ukraine?
  9. fyddell

    JamiiForums Tanzania Meli ya kubeba mafuta yenye bendera ya Tanzania, MT ASANA, imetekwa nyara

    Aliyekuulia ndugu zako unamuonea huruma ya namna gani mkuu?
  10. fyddell

    JamiiForums Tanzania Meli ya kubeba mafuta yenye bendera ya Tanzania, MT ASANA, imetekwa nyara

    Haina shida, iwe ni meli ya nchi za nje iliyotumia bendera yetu sawa tu maana hapo nyuma yalishajitokeza meli za nchi nyingine kutumia bendera yetu bila vyombo vyetu husika kuwa na taarifa zikakamatwa huko maji marefu na mataifa yanayojelewa. Hata ikiwa ni ya wafanyabiashara wetu wanaokula...
  11. fyddell

    JamiiForums Tanzania Degree ngumu kusoma hapa Tanzania

    Inaitwaje hiyo mkuu?
  12. fyddell

    JamiiForums Tanzania Huyu ni Profesa nani anamtaja Wakili kuwa ni muongo

    Huyu atakuwa yule aliyesema ametokea jalalani tu.
  13. fyddell

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Jirani yako Ilala 😊
  14. fyddell

    JamiiForums Tanzania Mnyika afafanua tuhuma za Heche na matumizi ya fedha za ToneTone

    Pesa za tone tone ziko SALAMA
  15. fyddell

    JamiiForums Tanzania Kosa hili la kidiplomasia la Rais Samia ndio lilisababisha mpango wa Dangote wa Refinery ubadilishwe kutoka Tanga na kwenda Mombasa

    Mimi mwenyewe niliposoma coment yake nikaishia hapo hapo. Nikaona haina haja ya kuendelea kusoma mawazo yake. Tuna wajinga sana humu ndani, hajui kuwa alichokifanya Samia ile siku ni kosa kubwa sana kidiplomasia na ego ya kujiona ikitupotezea uwekezaji mkubwa kama ule.
Back
Top Bottom