Ujenzi wa Dalaja la wami
Ujenzi wa Dalaja la Tanzanite
Ujenzi wa hospitali ya Rufaa Mtwara
Upanuzi wa Ghati ya bandari beth 01 &2
Mfugale bridge Tazara
Stand ya Magufuli
Hospitali ya Rufaa Mbeya
Hospitali ya Rufaa chato
Kiwanja Cha ndege chato( nongwa)
Ikulu chamwino
SGR
Mwendokasi Mbagala...
SAWA ni bandari kavu mbona Haina ukuta wa uzio, usalama wa Mali za wateja upoje .kamishina wa TRA azuie kwanza matumizi mpaka ukuta ujengwe ndio ianze kazi
Wewe nae Bhana unakomaza fuvu saaana Kwa Hoja nyepesi Huyo unaemtetea Uraisi si aliupata Kwa kurithi niwapi SSH aliwahi kuwania kiti Cha Uraisi Kwa nafasi ya Raisi mpaka asitahili awamu Mbili ? Mfano!! Irani Raisi alikufa Kwa ajili ya ndege , kutokana na katiba yao Makamu wa Rais anakaimu kiti...
Kwa Jiyo maika mitano ametumika Kama Rais!! Nikweli kabisa ila tambua Kabla yakuwa Raisi Samia alikuwa makamu wa Rais ,Na utambue uraisi wake ulitomana na katiba baada ya Raisi kufia Madarakani .Nilivyomuewa Polepole nikwamba Mama asingeweza kugombea uraisi ndani ya chama kwasababu nidesturi...
ACHA uongo kwahiyo Huo mkutano mkuu ukiamua kuchagua Gigy money kuwa Raisi ni SAWA? Polepole kaeleza vyema usitufanye Kama hatukuelewa
Inshu nikufata dual process yakumtafuta mgombea mchakato ambao unamtaka mgombea uraisi aupitie ikiwa nipamoja na kuchukua form ,kutafuta wadhamini Bara na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.