Je hyo 150000 siku mtu atakapolazwa muhimbili itagharamia kila kitu? Hili swali hamtaki kuliweka wazi.
Binafsi naona ni janja janja tu ya kutaka kukusanya hela za wananchi wazipige.
NHIF mmeiharibu wenyewe
Salama wakuu.
Naombeni idea ya rangi nzuri ya kupaka ndani ya nyumba.
Nimejaribu kuperuzi rangi nyingi mbali mbali nimeshindwa kufika muafaka.
Ni rangi gani nzuri ikipakwa ndani panakaa murua.
Nategemea kutumia kampuni ya plascon.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.