Recent content by FUTURE HUNTER

  1. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Photocopy mashines

    Usitoke nje ya hapa. Evelyn kamaliza.
  2. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Kosa mlifanya mwanzoni pale kutoka st francis kuja sengerema. NACTVET wao ndio wenye uwezo wa ku approve uhamisho na sio chuo kukwambia njoo kwetu. Na mwanafunzi akisajiliwa kwenye mfumo anapata ujumbe hapo hapo. Fikeni ofisi za kanda NACTVET na vielelezo kwa msaada au la dirisha la mwezi wa...
  3. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba SC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | CCM Kirumba

    Ubaya una laana nyie.unarudi ulipotokea
  4. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Inatokea kwenye mpira. If you are man of the game
  5. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Ni kweli kimsingi inakatisha tamaa na ukiangalia mazingira mechi ya al ahly na farabat point 4 zilikuwa zetu. Wachezaji wanazingua sana
  6. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Shukrani mkuu nime activate leo cha 60k. Naendelea na majaribio ya ku drill data nione uhimilivu wake.
  7. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Tuchukue msimu huu kama funzo. Inauma sana kuona tunatoka mapema licha ya kuwa na timu nzuri. Kwangu sioni jipya twende tukakamilishe ratiba tu.
  8. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Shukran ngoja ni trace hii ya 60k
  9. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni 4g router yangu. Model 4G AC1200 LTE Router DWR-M960
  10. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya kwa wote UHIF: Hatimaye Rais Samia atekeleza mfupa mgumu uliowashinda Marais waliopita

    Je hyo 150000 siku mtu atakapolazwa muhimbili itagharamia kila kitu? Hili swali hamtaki kuliweka wazi. Binafsi naona ni janja janja tu ya kutaka kukusanya hela za wananchi wazipige. NHIF mmeiharibu wenyewe
  11. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni mnifumbue macho nishaanza kuibiwa au?

    Dukua simu yake huyo utayapata yote.
  12. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Naombeni cheapest unlimited option kwa ajira ya router yangu. Nilikuwa natumia voda ya 20Mbps kwa Tsh.1115000 NB router ni universal
  13. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rangi ya kupaka ndani ya nyumba

    Furnitures za sitting room ni nyeusi. Floor ni greysh inayoenda kwenye weupe
  14. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rangi ya kupaka ndani ya nyumba

    Hii inaitwaje?
  15. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rangi ya kupaka ndani ya nyumba

    Shukran
Back
Top Bottom