Kosa mlifanya mwanzoni pale kutoka st francis kuja sengerema.
NACTVET wao ndio wenye uwezo wa ku approve uhamisho na sio chuo kukwambia njoo kwetu. Na mwanafunzi akisajiliwa kwenye mfumo anapata ujumbe hapo hapo.
Fikeni ofisi za kanda NACTVET na vielelezo kwa msaada au la dirisha la mwezi wa...
Je hyo 150000 siku mtu atakapolazwa muhimbili itagharamia kila kitu? Hili swali hamtaki kuliweka wazi.
Binafsi naona ni janja janja tu ya kutaka kukusanya hela za wananchi wazipige.
NHIF mmeiharibu wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.