acha dharau ww . wewe unafuga nini?? hata kuku huna. umelifanyia nini taifa lako katika nyanja zote siasa, uchumi, tamaduni na hata kijamii?? kwanza sikufahamu na nahisi hata familia yako haikufahamu vizuri, dharau haijengi, dharau si mtaji, dharau si kipaji ila ni tabia na hulka yako. tangaza...