kinachotakiwa kufanywa na ccm ni kukaa na huyu bwana, waongee naye kwamba endapo chama hakitamchagua kupeperusha bendera ya CCM kwenye urais, basi atulie na asifanye jitihada zozote kukijeruhi chama.
.
Hii ndiyo njia pekee waliyonayo - vinginevyo ni kweli CCM wana hali ngumu - jamaa kawaweka njia panda.
Kuitisha kikao ni rahisi sana, lakini nani atamfunga paka kengele ndani ya kikao hicho?