Sijui nikujibuje brother,napata shida sababu mm nimesoma sayansi lakini kiswahili angalau hakinipigi chenga,ume lazimisha NENO WAZILI NAPE NA SIO WAZIRI NAPE , ni ngumu kukuelewesha hasa Malengo makuu ya lugha na sio lengo kuu la lugha, Unazifahamu 3K? Kusoma.kuhesabu. na Malizia mwenyewe K...
Pole saa, na kwa kuwa unadai umehangaika sana, basi hata washauri wanatakiwa/tunatakiwa tufikiri zaidi kuliko Pole na experiences za kuugua!
Kwa kifupi tatizo lako ni la kitabibu, hasa unaweza kuwa na fangal infections, (unspecified!) Fangas wa kwenye kucha kitaalamu( onychomycosis)
Hushambulia...
Nje ya maada, mazuri yako mengi mno, bestline haipo kwenye uzuri/ubora, kwa kukimbia/kutoboa mwanza dsm, kwa anae safiri mala kwa mala, akuna kama KISBO:
Pole sana, Kwa kitaalamu tunaita hyperemesis gravidarum, yaani mama mjamzito anatapika kupita kiasi ndani ya miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito na baadae hutoweka , na huambatana na udhia mwingine.
Sababu kubwa ni (hCG). Hii ni hormone ambayo huzalishwa wakati wa ujauzito toka kwenye...
Kuongelea taaluma ya mtu fulani, bora hata uwe una taaluma hata kidogo inayo lingana na ya huyo unaemwongelea, au hata uwe nauelewa kiasi tu juu ya taaluma yake, na ikiwzekana umahamu mtu na taaluma yake kwa kina pia.
Kama huna hata moja miongoni mwa hayo si busara kuongea uongo na kufurahisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.