Kilichoandikwa na Pascal Mayalla kuhusu waheshimiwa wabunge katika gazeti la Raia mwema ni ukweli wenye uchungu ndani yake. Na kitendo cha spika wa bunge kulifikisha jambo hilo bungeni ni kujidhihirisha madhaifu yao kiuhalisia.
Maswali yangu ni haya.
1. Mara ngapi wamekuwa wakidhalilishwa na...
Lugha ya matamshi aliyotumia mkuu ya kusema " Hiiiiiiii!!!!! kwa tafrisi ni kwamba.... HAKUNA WA KUMTISHA AMA KUPINGANA NAYE KIVYOVYOTE. Hiyo Hiiiiiiii! hutumiwa kama tahadhari ya mwisho kwa msukuma kuonyesha amekarsirishwa na jambo ama mtu flani na yuko radhi hata kumpotezea uhai. Hiyo ni...
Mkuu kiukweli wengi tuliwaza hivyo, ila kama furaha haimo ndani ya nyumba shida na maumivu ya moyo ni zaidi ya aliye nyumba ya kupanga chumba kimoja na hana kodi ya kulipa. Mko sawa kimsongo, sema tu pesa inakuweka maeneo ambayo si rahisi wengine kuhisi tatizo lililopo.
Furaha hutokana na...
Wasizibwe midomo kuongea maana hata makanisani mapato yameshuka, hapa kanisani kwetu sadaka ilikuwa inafika 8 milioni, siku hizi ni 1.5 ama 2 milioni. Hali ni mbaya kiukweli.
Tulioshtuka mapema kutoka chanzo makini MANGE KIMAMBI tuliziuza mashine na kuweka fedha mfukoni, kiukweli kilichofanyika si sawa kabisa mliobakiwa nazo amueni kugomea kuzitumia wakanunue TANESCO. Huwezi ambiwa faida itoke 2.5% hadi 0.5 ujinga huo. Bora ukachome mahindi au uweke matuta ya mchicha...
Subiri siku auawe mkewe au mtoto wake tuone kama atarudia kusema tuchape kazi. Hayajamfika, ni aibu kubwa kiongozi kushindwa kutambua maumivu ya binadamu wengine na kuropoka kauli za kinafiki.
Chanzo cha habari nyeti isiyo na konakona ni MANGE KIMAMBI.
Ukitaka kujua hilo, fatilia kwa sasa viongozi wote wakisimama kuzungumza basi ujue anajibu hoja hafifu alizozificha kwa kujidanganya iliyolipuliwa na mange ambayo imelenga ukweli na wao hawakutaka mwananchi ajue. Wengine wasio na hofu...
Swali lenye ukakasi.
.
Tangia yote yatokee ni lini wananchi walifahamishwa kuhusu hilo zaidi ya kuibuliwa?
.
Nini kimewazuia kueleza sababu za kuzuiliwa kwa ndege na mnafanya siri?
.
Pesa zilizolipa deni zimetoka kwa fungu lipi mbona msemaji wa serikali hajazizungumzia.
.
Mnashangilia kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.