Kama huwajui wakurya uliza ndugu. Wakurya ndio kabila pekee ambalo polisi anapigwa makofi kama mtoto akijichanganya. search youtube uone mifano,Anamtisha nani sasa?
Na wewe unamuuliza nani sasa?Anamtisha nani sasa?
"Katibu wetu wa kata kauawa mnaona ni sawa, Tundu Lissu kapigwa risasi mnaona ni sawa, watu wanaonewa mnaona ni sawa, na sisi wengine tuko wenye listi ya kuumizwa".
"Sisi wengine tumeziambia familia zetu, kwamba tukiuawa, hata kama ni miaka kumi, watu waliotufanyia unyama, familia zao lazima ziwajibike. Hili lazima likae kwenye rekodi". John Heche.
Ulipizaji kisasa utakapoanza serikali na CCM ndio wakulaumiwa maana wanalea uhalifu kwa vile hauwagusi wao, yetu macho.Movies za kihindi karibuni zianze kufanya kazi Tanzania ila ogopeni Visasi,
Kama mtu anafanya mambo hayo anaangalia nafsi yake tu,basi ukweli ni kuwa wakati anafanya hayo ,ahakikishe hana ndugu au hazai lakini kadri siku zinavyoenda ,watu watakuwa wanadunguliwa wamekaa bila sababu kisa watu fulani wamewahi kuuwa na mmoja wa familia yako
Anamtisha nani sasa?
Yeyote anayehusika.. Malipo ni lazima na ni hapahapa duniani kabla ya kifo, ni suala la muda sahihi kufika.Anamtisha nani sasa?
Nani anavuruga amani ya nchi? si watawala? na ndio wanadanganya umma kuwa wanahubiri amani. Ila wao ndio wanavuruga amani yetu kwa tabia za ajabu kabisa ambazo hatujawahi kuwa nazo Tz.Hizi siasa usanii usanii tu. Tunachojali kwa sasa wasituvurugie amani yetu basi.
Mkubwa mbona kwa sasa unaandamwa sana na upepo wa BAN, kulikoni? Mbiti etini kungwi geni buraza
"Katibu wetu wa kata kauawa mnaona ni sawa, Tundu Lissu kapigwa risasi mnaona ni sawa, watu wanaonewa mnaona ni sawa, na sisi wengine tuko wenye listi ya kuumizwa".
"Sisi wengine tumeziambia familia zetu, kwamba tukiuawa, hata kama ni miaka kumi, watu waliotufanyia unyama, familia zao lazima ziwajibike. Hili lazima likae kwenye rekodi". John Heche.
Suala la Tesha analijua Mwigulu angekuwa mwanachadema ndiyo kafanya hivyo muda huu angekuwa segerea.Mwambie aende Igunga akajibu tuhuma ya kummwagia tindikali kijana Tesha. Hata akimbia hapa duniani lakini kwa Mungu lazima achomwe moto!
Tesha mwenyewe amemtaja Heche wewe unasema Mwigulu sasa tukuamini wewe au mwasirika Tesha??Suala la Tesha analijua Mwigulu angekuwa mwanachadema ndiyo kufanya hivyo muda huu angekuwa segerea.
Mpelekeni mahakamani, Mwigulu ni waziri wa mambo ya ndani lkn kila siku anazunguka na Tesha utazani mdoli wake hajui vilipo vituo vya polisi.Tesha mwenyewe amemtaja Heche wewe unasema Mwigulu sasa tukuamini wewe au mwasirika Tesha??