Recent content by freezingfire

  1. freezingfire

    Vita dhidi ya ushoga tumwachie Mungu, binadamu hatutaweza

    Me naona kama kiongozi ana wajibu wa kuadabisha na kukemea vitendo viovu kama hivyo, mbona kuna baadhi hata ya viongoz wa dini wanawafuta ushirika waumini kwa kufanya dhambi za hadharani, kuwakamata Ni mojawapo ya njia kuwarejesha tu kwamba huko walko sio, warudi huku.
  2. freezingfire

    Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

    :ph:pulivyoanza ni kama ulivyomalza tu,
  3. freezingfire

    Faida za kuwa Single.

    mkuu ndo unajifariji,,,
  4. freezingfire

    Uhakiki wa vyeti wanikosesha kazi na wasababisha mke wangu kuniacha

    True, afu me nkipata MKE wa HVO hata cihangaiki kumfata make inaonekana hakupenda MTU Bali pesa zako, be care please
  5. freezingfire

    Penati za masomo kwa form four waliohitimu

    Mkuu hii ndo naickia leo ni kweli?
  6. freezingfire

    Naomba msaada wa mawazo; Nawaza kuachana na comb hii ya HGL niende garage

    Ndugu angu garage ikija kuzingua utakumbuka hiyo hgl na itakuwa too late
  7. freezingfire

    Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali itaajiri walimu 4,000 wa Sayansi na Hisabati hivi karibuni

    Mkuu huu mwaka kila mtu anajua, na anajiamn na anachokifanya xo kuwa mpole tu uckilizie season la mwaka
  8. freezingfire

    Kuna bonge La ubishi hapa wanajiografia wate

    Nani alkwambia sekunde ile ile, kuna nchi tnatofautiana had I masaa sita, not true
  9. freezingfire

    BUNGENI DODOMA: Majibu ya Jaffo kwa walimu wa Arts na Sayansi

    Wale wa karibu na ziwa, mito na bahari changamkia fursa hapo ulipo maana arts xa HV ?????
Back
Top Bottom