Mloka ipo Wilaya ya Rufiji kwenye lile poli la Selou game reserve ni eneo la Rufiji ambalo lipo karibu na mkoa wa Morogoro. Ila mleta mada sio kweli hivi sasa kuna kuna gari ndogo nyingi zinafika mloka. Ukifika hapo mbagala au temeke utazikuta. Zipo zingine zinaishia kilimani. Mimi ni mkazi wa...
sidhani kama ndoto hii ni ya kijinga. ndoto hii alijulishwa jambo kubwa sana katika mahusiano yake. ni lugha za mafumbo zinazotumika ndotoni ndio watu wanaona ndoto hazina maana. lakini si kweli
Nilimaliza 1989 sikuwahi kuona past papers ya Baraza zaidi ya mock. Nakumbuka nuliisoma Sana Abott second edition yote mwanzo mwisho nukaishia kupata C ya physics...
Miaka Ile ilikuwa shida sanaaaa
kama ungetoa malalamiko cement ya Dangote ipo juu bahadhi ya maeneo ya Wilaya ya Mkulanga, Kibiti, Rufiji na Kilwa kuliko inavyouzwa Dar ungesaidia sana
Sio kweli Ila kizazi Cha Sasa ndio Kuna pupa za kupata Mali kwa muda mfupi na umri mdogo. Wanapenda kujadili mafanikio ya wenzao hapo ndio shida.
Sisi tulifanikiwa kuwa na ardhi tukiwa na miaka 40+.
Miaka 25 Bado ni umri wa kutafuta na sio kumiliki...
hatushangai haya sio mara ya kwanza kusikia hayo. kwa wale waliokuwa na ufahamu na kumbukumbu haya yalizungumzwa sana miaka ya 1980's wakati wa Reonald Regan alivyokuwa rais wa Marekani na Michael Golbechev wa Soviet Union. Ni marudio Tu. Kulikuwa na propanda nyingi miaka ile ya vita baridi...
Hapana amekosea....hiyo ni awamu ya pili ya Zamoyoni Mogella. Alianza miaka ya 1980. Nikukumbushe kidogo unajua jina la Golden boy alilopewa na Ahmed Jongo mtangazaji alilitoa mwaka gani? Ilikuwa 1980 Kati ya taifa start na timu ya taifa ya Malawi. Mogela alisawazisha goli na kuwa 2-2 Dak ya 89...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.