Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Waafrika hatuendelei kwasababu ya uchawi. Kila ukoo una wachawi. Unaanza kurogwa kwenye ukoo wako, unapata demu, anaenda kukufunga ili umuoe, mkiachana hakufungui, unapata mwingine naye anakufunga vifungo vyake, Hadi unakuja kuoa umefungwa sana.
Shuleni unarogwa, mama mkwe naye anakuroga ili awe kiranja mkuu wa familia yako, kazini unarogwa, mtaani unarogwa, Ni shida
Shuleni unarogwa, mama mkwe naye anakuroga ili awe kiranja mkuu wa familia yako, kazini unarogwa, mtaani unarogwa, Ni shida