Kuna washikaji zangu km 20 graduates wa chuo kikuu ila kazi wanazofanya ni tofauti kabisa, just imagine mtu kasomea aquatic life hlf anazungusha dawa za binadamu kwenye kampuni za kichina mwaka wa 5 sasa
Kuna mshikaji wng kapata md vyuo vya private na gpa ya 3.1 asikate tamaa kikubwa connection na kutafuta hela. Indirectly way nafasi ipo ht kwake mwenye 3,0
Hizi mambo za upigaji zipo sana nakumbuka niliwekewa Zaidi ya Mil 150 kwa ajili ya ukarabati, timu ya wilaya wakafanya figisu hadi zikahamishwa kwa sababu ya kipuuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo hajakutana nao mm mdogo ake Shem wangu yupo Tra Dar kanunua kiwanja milioni 28, bado super market kubwa anayo Dar na kazini hata miaka 7 hajafikisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Familia kushindwa kulipa mil zaidi ya 350 za kibongo kuchukua maiti ni umaskini? Je wewe waweza toa hela hizo kisa kuchukua tu maiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasoma vizuri kikubwa ufaulu mzuri Olevel na diploma upate gpa kubwa hasa first class. Kuna mwana yupo MD3 Udom Olevel alipt four ya 26
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.