wana jukwaa habali za mapumziko?kwa upande wangu naomba kujuzwa kua kwa mtu aliemaliza kitado cha sita mwaka 2014 akatapa C,D,D.je kwa mujibu wa TCU ana vigezo vya kuomba chuo kikuu?
uhamisho uliositishwa ni pamoja na huu wa tamisemi coz nimeenda halmashauri kupeleka barua yangu ya uhamisho wahusika wamekataa kuipokea wameniambia uhamisho umesitishwa mpaka mwezi wa tisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.