Yani We jamaa Big Up sana Una mawazo Kama Yangu...Yani Tunakuwa Mambu mbu mbu Adi tunaudhi.. Sasa Baba zima unapigwa viboko Kama mwanafunzi..
Hata wanafunz siku hizi wanadinda kwanza..hovyo kabisa
Wamama mkwe sielewagi wana matatizo gani na wakwe zao Yani Karibu wote wanafanana tabia..
Chamsingi Mkifanikiwa kuoana Ni vema mkaishi mazingira tofauti na nyumbani
Pole Sana ndg; ila kwa muono wangu mimi huyo jamaa yako Kama atakuwa na msimamo juu yako hakuna kitakachoharibika..
Kaa nae chini myafanyie kazi Tena Kama Bimkubwa Ni msalisali Basi fanyeni mazungumzo na mchungaji wa kanisa lake au mtu yeyoye ambaye mnahisi anaweza kumskiliza..
Ila tatzo lenu...
Hahahaha kwamba aludi Tena amalize na masters kabisaaa😄😄😀
Acha ajigongee tu sas Kam mme wake mwenyewe zumbukuku anaonyeshwa asome pale yey anasoma kidore
Dah hii mada inanisisimuaga Sana..Juzi tu nilienda na duu wangu kila nikijaribu kuforce Yani hata nusu ya kichwa hakipiti anajibana Sanaa sas sielewi nakosea style nayomueka(kifo ch mende) au ni vipi nishajaribu Karibu Mara 5 wapi nampenda Sana ni wamaisha ila napata ugum Sana.. inafkia hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.