Hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la wadau wa mchezo wa mpira wa miguu ambao wanafanya kazi ya kutathmini na kuchambua michezo mbali mbali hapa nchini, hasa mchezo wa soka (gozi la ng’ombe, kandanda au bolu). Ongezeko hili la wadau hawa ambao wanajitambulisha na kutambulika kama wachambuzi ni...
Masaa 2 kwa chombo gani? Nimeishi Pemba (Tibirinzi) kwa mwaka mzima na inachukua masaa 6 kusafiri kutoka Pemba mpaka Unguja. Unaondoka Mkoani saa 2 asubuhi na unafika Unguja saa 8 mchana. Hakuna Speed boats kati ya Pemba na Unguja kutokana na Mkondo wa Nungwi. Haya masaa mawili si sahihi!
Mwezi wa 11 mwaka huu nilipata kazi katika kampuni fulani ya Wahindi pale Kange, Tanga.
Baada ya kukubaliana nao mshahara mnono, wakaahidi kumpatia kazi na wife ili nihamishie familia yote Tanga. Makubaliano yetu yalikua wangenitumia offer letter mara baada ya mimi kukubaliana nao...
Wakuu,
Nina miaka karibia 10 ya utumishi kwenye sekta binafsi. Nimefanya kwenye makampuni na NGO's kadhaa hapa nchini na kikubwa ambacho ninakiona ni Watanzania kutojua haki zetu maofisini na sheria za kazi!
Kwa kiasi kikubwa, sisi Watanzania ambao tunaajiriwa sekta binafsi, wengi ni wahanga...
Nimeishi na kufanya kazi za kilimo Wilaya ya Kiteto. Pamoja na ardhi yenye rutuba, wilaya hii bado haina mvua za kutosha na wana tatizo kubwa la maji ya kunywa! Msimu wa mvua unaisha mapema sana kule na kinachofuata baada ya hapo ni jua kali ambalo hupelekea ukame wa hali ya juu mpaka vifo vya...
Mbeya kuna makabila ambayo nadhani yanafikia 6 (Wanyakyusa, Wanyiha, wasafwa n.k.). Wanyakyusa ndo kabila kubwa na dominant katika mkoa wa Mbeya na wao ndio wanaobeba bendera ya mkoa mzima! Unapozungumzia Mbeya, unazungumzia Wanyakyusa kwa 75% labda na waliobaki ni makabila madogo madogo. Na...
Mafinga sio mji wa kibiashara? Is this a joke or?
Mafinga ni zaidi ya mji wa biashara! Zaidi ya 25% ya mbao zinazotumiwa TZ hii zinatoka Iringa - Mafinga na Kilolo! Bado unasema Mafinga sio mji wa biashara?
Kuna mashamba ya chai pale! Kuna kilimo cha mahindi na matunda Kwa wingi! Ulitaka...
Miaka ya 1990s uchumi wa Iringa Ulidolora sana kutokana na kufungwa kwa viwanda vingi na makampuni binafsi (kuvitaja vichache ilikua ni Coca na Pepsi ambao walihamia kabisa Mbeya, Vac Lug, Bhesania n.k.).
Kwa kiasi kikubwa ajira zilibaki sekta ya umma (serikalini) tu na wafanyabiashara...
Kwa yeyote anayeifahamu Iringa vizuri, miaka 10 iliyopita mji umetanuka kwa kiasi kikubwa sana! Hii imesababishwa na kukua kwa sekta ya utalii, kufunguliwa na kufufuliwa kwa viwanda vingi, uwepo wa vyuo vikuu vya kutosha pamoja na uwekezaji na ukuaji wa Dodoma!
Iringa ni satellite town ya...
Nikusaidie tu, Iringa mjini hakujawahi Kuwa na mgao wa maji toka miaka ya 1990 huko! Na Iringa ni kati ya mikoa michache Tanzania hii ambayo maji ya Bomba yanafaa kwa matumizi ya kunywa moja Kwa Moja Kwa sababu yanatiwa dawa kabla ya kusambazwa! Maji yanatoka masaa 24 na presha ya...
Mwigulu Nchemba alipokua Waziri wa Mambo ya Ndani alikataa kata kata kuwa yule ambaye alimtolea Bastola Nape Nnauye sio kijana wao. Akasema ni mhuni tu na atafutwe. Aliyazungumza hayo huku wakiwa wameshavuliwa nguo kwa picha za yule bwana kusambaa mitandaoni huku usajili wa gari iliyotumiwa na...
Nimekuwa nikiwaza kwa muda mrefu kiasi ni kwanini serikali inatumia nguvu ya ziada kuhakikisha vitambulisho hivi vimekwisha kwa wakati.
Nakubaliana na wewe kuwa suala sio kitambulisho, ila kinachopatikana baada ya kitambulisho 'kuuzwa'.
Machinga na 'wapiganaji' wengine wanauziwa vitambulisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.