kauga JR
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 3,503
- 2,077
Mkuu karibu nyumbani nakukaribisha kwa mikono miwili... Achana nao wanaobeza kwamba tigo sijui imefanya nini ni mawazo yao tu. Na bila kusahau tigo ni sehemu yoyote zinanyofolewa. Ni bahati tu kubwa ni kumuomba Mungu akujaalie mke mwema.Nimekuwa nawapenda wapemba kama mtu yeyote anavyoweza kupenda Wagogo au kabila lolote ila bahati mbaya siwajui vizurii naomba anaewajua anijuze
Nipo jijini Dodoma kwa sasa.
Instagram:kaukwaju
Huwezi kumpata mke Mpemba. Kitu cha mwanzo, Sio mahali ni mahari , jifunze kuandika Kiswahili kwanzaNimekuwa nawapenda wapemba kama mtu yeyote anavyoweza kupenda Wagogo au kabila lolote ila bahati mbaya siwajui vizurii naomba anaewajua anijuze
Nipo jijini Dodoma kwa sasa.
Instagram:kaukwaju
Wachaga ulishawahi kuwaona?
Akitatuliwa ama nini?
Usithubitu MKUU,,, hao wa VISIWANI wanaoana wenyewe kwa wenyewe.,ukijitwisha huo mzigo UWE NA NGUVU SN...vinginevyo JASHO LITAKUTOKANimekuwa nawapenda wapemba kama mtu yeyote anavyoweza kupenda Wagogo au kabila lolote ila bahati mbaya siwajui vizurii naomba anaewajua anijuze
Nipo jijini Dodoma kwa sasa.
Instagram:kaukwaju
Aqeelah nimeweka masharti ya kutosha kuhusu kupata mke wa kipemba,pitia vizuri na kama una sifa karibu sana Pemba mm nitakuwa mwenyeji wako kwa hilo.
Utakuwa unaenda kupiga Jugna! Shirki ndio mnazozijua nyie! Punguani wahed!AlhamduliLlah katika safari zangu za hapa na pale nimefika Pemba na nikapapenda sana na nikajenga urafiki wa kufa na kufaana na Wapemba wengi.
Kusema za haki, Wapemba ni wakarimu sana, kisiwa chao ni super green na kizuri sana, vyakula vyao pia vizuri.
Baada ya kwenda kwa mara ya kwanza Pemba kama miaka 20 iliyopita na udugu nilioujenga na Wapemba basi AlhamduliLlah haipiti mwaka nakwenda mara mbili au tatu.
Ma sha Allah.
Wapemba wengi wanapenda sana 0713 kwa Dada zetu au hata kwa baadhi ya vijana wa kiume. Utasikia.... Yule anatembea na Mpemba keshaharibika...... Kwa nini Wapemba wanahusudu sana LIWATI?Mkuu wafanyakazi wengi wanafanya ngono hadi maofisini inakuaje? sio jibu la msingi
Masaa 2 kwa chombo gani? Nimeishi Pemba (Tibirinzi) kwa mwaka mzima na inachukua masaa 6 kusafiri kutoka Pemba mpaka Unguja. Unaondoka Mkoani saa 2 asubuhi na unafika Unguja saa 8 mchana. Hakuna Speed boats kati ya Pemba na Unguja kutokana na Mkondo wa Nungwi. Haya masaa mawili si sahihi!Ni masaa2 kutoka Mkoani Pemba port kwenda Stone town