Talk smart kuku wa kienyeji unamjua wee achen kubezaa viongozi huo ni upendo wa dhati tena akuna wazri yyte kati secta hii aliyefanya vzuri kama nyalandu
Ndugu mjumbe tambua kla mtanzania anayo haki ya kisheria na katiba kugombea jimbo lolote alitakalo ndani ya tanzania ila najua ukawa awatoweza kushinda hapo
Jaribu kuleta vitu vya akili cio kukurupuka ni Gari ngapi wabunge wa upinzani zmepita iweje hiyo bandari inautaratibu wake wambie afate utaratibu.......atajua tu hizo ambulance ndio za kuombea kura kashindwa kwa kishindo don't provoke talk smart
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.