Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Kwa hiyo wote siyo wakazi,watupishe huko basiPatrobas si anakaa Mwanza anafanya kazi kwa Diallo?
Kwa hiyo wote siyo wakazi,watupishe huko basiPatrobas si anakaa Mwanza anafanya kazi kwa Diallo?
Alipewa mkaazi mwana Derefa,ila pamoja na hayo kwa nini Mlingwa walimpa japokuwa hakuwa Mkazi?hii issue yenu ya ukaazi haina maana,leteni hoja mnataka kuifanyia nini Shinyanga?Umeona eehehe pamoja na kuwa na mji shinyanga ..bado hakupewa Ubunge.
Mkuu,
Kati ya watu wachache makamanda huwa nakuheshimu sana.
Soma vizuri uelewe hoja.
Mwaka 2010, kamanda Marehemu Shilembi na sie wana Chadema, tulikuwa tunajinadi kuwa Masele si mzawa wa hata kaja kuufanya ubunge ni kama take away.
Leo tutasemaje kwa Katambi?
Hebu tuache mzaha kwenye mambo serious.
Abaki kuwa ni mwenyekiti BaVicha
Halafu Chadema mmedhihirisha ujinga wenu,inakuwanje mnapinga public kabisa wenyewe kwa wenyewe,subirini wajumbe wataamua wanamtaka nani agombee ili aikomboe na kuitetea shytown ambayo imekuwa ikiongonzwa na wabunge wabovu wabovu tu.
Funguka katamba yupi? wa Ndala,au yule MC,Au yupi funguka Mkuu tumjue huyu katambaPatrobass katambi ndiye Mbunge mtarajiwa wa Shinyanga...kama mnamwogopa baada ya kutangaza nia...shauri yenu...katambi kwao ni shinyanga na baba yake ni Dr. hapa na wamejenga nyumba hapa na ni msukuma....halafu..kumbuka mijini hakuna cha mzawa..sijui wewe ni wa wapi? acha ujinga wako mkuu wa kutuingiza huko..
Vic ni jambo gumu kumuelimisha raia wa kawaida toka ndembezi au upongoji kuwa mgombea ni mkazi wa Dar..da iko kazi kuwaelewa.Alipewa mkaazi mwana Derefa,ila pamoja na hayo kwa nini Mlingwa walimpa japokuwa hakuwa Mkazi?hii issue yenu ya ukaazi haina maana,leteni hoja mnataka kuifanyia nini Shinyanga?
Aisee Mkuu tunaomba tumjue Huyu Katamba anaishi wapi,anafanya kazi gani kwa sasa,ameshiriki vipi Maendeleo au anajua vipi Mkoa wa Shinyanga?Hii habari ya kuanza kuzuia watu kwa kigezo cha uzawa mnaitoa wapi? Tabia hizi ni za kiccm pure, Katambi kama kajipima na kuona anatosha kugombea huko Shinyanga, wewe unapakachuka hapa unadhani waweza kumkwamisha? Nenda kapeleke hoja zako hizi kwenye Kamati tendaji za jimbo/ Wilaya ili angalau uonekane unahoja yenye mantiki. Jukwaa hili si jukwaa.la Cdm hofu zako peleka Lumumba
Watakao mkataa Katambi ni wajumbe rasmi wa Kamati tendaji wanaoingia kwenye mkutano wa kuchagua Mgombea Ubunge kupitia Cdm, kama wewe ni mjumbe nenda huko kapeleke hoja zako kama zinamantiki zitapita na Patrobas atapigwa chini, Vinginevyo Ziba Pakacha lako hapa Wacha wenye nia ya kuwakwamua wananchi wafanye hivyo alaah,!!!!
BACK TANGANYIKA
Katambi yupi huyu?funguka Mkuu watu tumjue,anaishi wapi,anafanya nini kwa sasa..Mbona mnamwogopa sana Patrobass katambi? acheni Demokrasia iamue...
Aisee Mkuu tunaomba tumjue Huyu Katamba anaishi wapi,anafanya kazi gani kwa sasa,ameshiriki vipi Maendeleo au anajua vipi Mkoa wa Shinyanga?
Hawa kina Katamba wako wengi ndo maana nauliza ni yupi huyu anaegombea?wapo wazee na vijana kina Katamba,unamzungumzia yupi Kamanda?
Hapo nimetoka mikono mitupu,Simjui huyo.Ni yule mfanyakazi wa Diallo.
Wasalam Jamvini,
Kamanda Patrobas Katambi, nakuomba uondoe nia yako ya kugombea ubunge Shinyanga Mjini mara moja.
Kamanda, unafahamu kuwa wewe si mzawa wa hapa Shinyanga Mjini. Na kwamba turufu hii tuliitumia kama CHADEMA dhidi ya Masele na kusababisha ushindi kwetu.
Kamanda, unafahamu huna ndugu wala jamii yako hapa mjini unag'ag'ania. Kamanda Masele /Nkurunziza.
Kamanda, unafahamu jimbo la Kahama walikukatalia live, ambako kuna ndugu zako, umefika wilayani hapa na mbunga wamekukubalia kutia nia.
Kamanda, unafahamu ulivyoanzisha mtandao wa kimakundi CHADEMA wilayani hadi kata.
Kamanda, unafahamu wanashinyanga walivyo na misimamo. Juu ya uzawa wameonewa kwa miaka zaidi ya 10.
Kamanda, unafahamu kwana watia nia zaidi ya 10 wenye sifa ila umekomalia kisa ni kiongozi wa kitaifa utapata tu.
Kamanda, unajua ulikataliwa na walimu siku ya seminar yao. Ukimwakilisha Rechal Mashishanga ulizomewa kwa maneno yako kwao. (Ulimi hauna mfupa)
Kamanda unafahamu. Uongozi makao makuu unakubeba, hata mkutano wa hadhara juzi juzi NKMZ Salum Mwalimu alikubeba na kuwaacha watia nia wengine.
Kamanda ni hivi, kujenga CHADEMA si lazma uwe ni Mbunge, mbona una Cheo kizuri kukitumikia chama, BAVICHA TAIFA.
Jipime! usikibomoe chama kwa tamaa zako Kamanda.
Ukweli MCHUNGU wewe si MZAWA wa hapa.
Am always PERFECT.
Kusoma shinyanga ndio mzaliwa wa hapa?
Wazazi wake wapo wapi?
Ni yule mfanyakazi wa Diallo.
VICTORIE...Sina interest na Kundi lolote,Wewe PERFECT kajipangeni upya,kwa taarifa yenu Pasi alizaliwa kolandoto hospital,kasoma kolandoto shule ya msingi,baadae baba yake akahamishiwa mkula Hospital Magu,baadae wakarudi tena Shinyanga,Pas ni mzaliwa wa wilaya ya shinyanga mjini upo hapo?issue ya uzawa mmefeli mpaka hapo,Kwanza unamtetea Rachel Mashishanga mtu mwenyewe ana power bank anaishi kwa kupunguza charge za power bank tu,afterall Rachel hafai kuwa mbunge maana hana mipango endelevu ya kuifanya shy town iwe juuu
Mkuu Parfect,
Kwanza asante kwa heshima yako kwa michango yangu hapa jukwaani. Bila shaka hata kwa huu mchango wangu hapa heshima yako inahusika, Tuko pamoja.
Pili ondoa shaka hoja nimeisoma na kuelewa nimekuelewa na ndiomaana nimekujibu, kwa hilo ondoa hofu..!!!
Katika vyama yenye watu makini wa kupiga propaganda na kujibu, Chadema hakuna mfanowe..! Wanachadema watakujibu kadiri utakavyoleta hoja yako, iwe ni upuuzi au hoja makini. Na ndiomaana Chadema ipo hapa ilipo leo kama siyo umakini wa kupangilia na kupangua propaganda hakika tungekuwa tunaongea mengine. Kwahiyo hii uliyokujanayo leo ni propaganda na inajibiwa kipropaganda, be carefully usipokuwa makini kuinadi itakubabua..!!! Huu ndo utamu wa kuwa mwanachadema unakuwa huru kujibu chochote, yeyote bila kujari ni nani. Kwa hili najisifu waziwazi...!!!!!!
Unasema leo tatasemaje kwa Katambi?
Naam tutasema Katambi gombea kama unania na umeona unaweza kutatua kilichowashinda watangulizi wako. Gombea nafasi yoyote bila kujari ni ipi alimradi unakidhi sifa na vigezo husika, Tutasema gombea wananchi ndiowatakupima kama kweli una nia hiyo au unataka kujinufaisha. Ni hayo tu ya kusema kwa Katambi na kwa mgombea yeyote mwingine toka UKAWA au Chadema. Tukitoka hapo ndipo'sa tutaanza kuvurumisha kila aina ya Kampeni ikiwemo propaganda za hapa na pale lakini kamwe si kwa kumbagua mtu iwe kwa imani yake au eneo lake analotoka. Tena hao wanaogombea Sambamba na mgombea wetu wajiandae sawasawa wakiwadhaifu kujibu propaganda watababuliwa...!!!!!
Halafu tambua mkuu hakuna ambaye yupo hapa akiwa si serious, Sote tupo hapa kutoa maoni yetu. Ni vipi tusiwe serious kwakuwa tunatofautiana na mtizamo wako? Tafakari hilo mwenyewe..!!
Katambi atandelea kuwa Mkiti Bavicha, na kama katiba ya Chama na Nchi havimzuii kuwa Mbunge au Rais then let it be...!! Mbowe pale ni Mwenyekiti wa Chama taifa, ni Mbunge wa Hai via Cdm, ni Mkiti wa Kambi ya upinzani Bungeni (KUB) Umewahi kuhoji juu ya vyeo vyake hivyo? Vipi iwe haramu kwa Patrobas Katambi? Au kwasababu anamnyima usingizi mgombea wako ambaye yuko mfukoni mwako au wewe mwenyewe?
Jitafakari kaka.
BACK TANGANYIKA
Halafu Chadema mmedhihirisha ujinga wenu,inakuwanje mnapinga public kabisa wenyewe kwa wenyewe,subirini wajumbe wataamua wanamtaka nani agombee ili aikomboe na kuitetea shytown ambayo imekuwa ikiongonzwa na wabunge wabovu wabovu tu.