Tuna ujinga flan hv,mfano watu wa wili wakiwa wezi halafu baada ya mda yule mmoja akataka kuacha bc ataonekana mmbaya ila yule mmoja hawezi kuona au kutafakari kwa nn mwenzie anaacha,anakuwa blinded coz anaamini katika uovu tu,wazee walilazimishwa kihistoria kuwa watumwa ila nowadays tu watumwa...
Historia ya mtu mweusi pia ile mito mi nne kwenye kitabu cha mwanzo iko Afrika i thnk ni pishoni,gihoni na wa tatu ni tigre au Hidekel kwa baadhi ya tafsiri nao pia ulikuwa Afrika,picha no 2,so ni vizuri tukajifunza historia yetu b4 watu weupe hawajaja Afrika na kuigawa kwa matakwa yao kwenye...
Pole mtoa maada.hata mm jambo hilo lilinitokea pande za moro.kuna jamaa ukimuangalia yuko nadhifu yaani anajiweza basi akaniaproach nikamjibu kistaarabu tu kuwa hayo mambo kwa mimi sio saizi yangu.lakini jamaa hakukata tamaa wiki moja baadae nikakutana nae town moro akaniomba namba ya simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.